Simu yako yaweza kukupa COVID-19.
Tabia hii ya kuperuzi simu zetu mara kwa mara, hata unawe mikono mara kwa mara ila kama umeigusa simu yako uwapo katika pilika na shughuli mbalimbali kisha ukairudisha mfukoni, utapo nawa mikono kisha ukaigusa tena simu yako jua kua Virusi vipo hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.