Tumekuwa na Sheria kwamba binti wa like akipata mimba akiwa masomoni basi masomi yake huishia hapo,ni muda muafaka Sasa kwa Rais wetu mpendwa kufuta sheria hii kandamizi kwa mwanamke.
Nawasilisha kwenu WanajamiiForums ili nipate maoni yenu
Ahsante, naomba kuwasilisha.
Nimeanza kea kuuliza swali kwa maana namaanisha wakati wa kuongea Kiswahili kila mtu anarafudhi yake. Kwa mfano mwingine huongea Kiswahili kwa lafudhi ya Kichaga hadi unajua 'huyu ni mchaga', unajua kwa sababu ya lafudhi yake lakini kuna mwingine akiongea Kiswahili ile lafudhi yake inakuwa ni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.