Mhashimu askofu mstafu Hayati Mateo Shija alifariki dunia tarehe 09/07/1924 ghafra mjini kahama akiwana umri wa miaka 91 na kuzikwa tarehe 17/12/2015.Askofu Shija amehudumia kanisa akiwa kama askofu kwa miaka 17.marehemu atakumbukwa kwa kazi nzuri ya kuongeza idadi kubwa ya waumini jimboni...
Mbunge wa kahama mjini ndugu Jumanne Kibela Kishimba,ameoneshwa kukerwa na ufujaji mkubwa wa mali za umma mjini hapa.akizungumzia suala la miradi hewa iliyoidhinishwa na nadiwani waliopita pamoja na mkurugenzi aliyehamishwa ndugu Kimario kwenye kikao cha madiwani,mbunge huyo alisema," nimekerwa...
Mji wa kahama una maeneo ya wazi ambayo yalitengwa kwa ajili ya matumizi ya jamii hapo baadae ikiwemo watoto kucheza,lakini kadri miaka inapozidi kwenda mbele,maeneo hayo yamekuwa yakivamiwa na watu wanaojiita matajiri.wananchi wamekuwa wakilalamika lakini hakuna kinachoendelea.mfano pale...
Nimeshuhudia viongozi mbalimbali wakijinadi juu ya majukwaa wakidai kuwa wamepambana vya kutosha mpaka mji wa kahama ukapandishwa hadhi na kuwa manispaa baada ya mji huo kukidhi sifa zote za kuwa manispaa huku wagombea hao wakijinasibu kuufanikisha mji huo kuwa na hadhi ya kimataifa.ila...
Halimashauri ya mji wa kahama, imekuwa ikihujumiwa miradi mbalimbali na watumishi wa sekta za umma wakiwemo madiwani.zaidi ya milioni mia nane zimepoorwa kwa kupitisha miradi hewa.hivyo tunaomba raisi afanye juu chini awashughurikie baadhi watendaji akiwemo mkurugenzi Kimario aliyehamishiwa mkoa...
Mji wa kahama ni mji wa kibiashara wenye muingiliano mkubwa wa watu wengi wafanyabiashara kutoka Mikoa ya Geita,Katavi,Tabora,Mwanza,na nchi jirani za Kongo,Rwanda,Burundi,na Uganda...hivyo kutokana na sababu hiyo na zingine kama kukua kwa kasi mji huo,mkuu wa mkoa leo hii ametamka katika...
Kumekuwa na malalamiko kwa baadhi ya Private Candindates kwamba,baraza la mtihani necta wamekuwa wakiwasahihisha vibaya eti kwa sababu walichezea muda wao wakiwa shule hasahasa wale malista.mfano PC hata kama atapiga" A"NECTA hawawezi kumpa hiyo "A"watamkadilia marks?je ni kweli?naombeni msaada...
Kuna baadhi ya makada ndani ya chama cha mapinduzi waliozoea kukwepa kodi kwa mgongo wa chama waanza kulalamika kwenye vyombo vya habari wakimlaumu raisi kwa hatua anazochukua pia hofu yatanda kwa CCM kuitisha kikao cha ghafla wanahisi ni kwenda kumjadili raisi.
Je nyie wadau mnasemaje kwa hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.