Edzen the rocker...mtangazaji wangu namba 1 wa vipindi vya hip hop
Kiss collabo mix show ilikuwa hatari na nusu
Hapa ni presenter pale ni MC...msanii akizingua kuchana anaanza yeye...anapasuka kinouma yaan...
Hatari sana EDZEN
HATARI SANA...naona siku hz amekuwa model model wa mavazi
Dah...
Na mm nisemepo kidogo
Kama unataka mali utaipata shambani
Kama afya utaipata shambani pia
Ni title ya wimbo wa ndugu ya mmoja namkubali sana...namwitaga prof.Farid (fid q)
FRESH YA SHAMBA
avatar ni kwamba nna binti now...yeye pamoja na mama ake tunaitengeneza avatar
So furesh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.