watulie na busara zitawale, wanaweza kupatana kuliko hii ya kukutana a waandishi wa habari, kwa busara yangu nadhani hivi vyama viwili viwe neutral ili angalau chama cha tatu kwa maana ya NCCR kiwasaidie kuteua mgombea kati ya hao wawili ambaye ana uwezekano wa kushinda na kusaidia nia kuu ya ukawa.
fuata moyo wako mkuu, sehemu ya uzima wako anayo yeye, hivyo kama tayari ushaanza kupata mabaya ambayo yanaweza kupatikana kutokana na kukosekana kwa uaminifu ni bora ukafanya lililo sahihi kwa busara na moyo wako.
alitumia vizuri haki yake ya ki-katiba. Rais ni mmoja tu, hivyo hata kujionesha ilikuwa muhimu. Naikumbuka sana kauli ya Napoleon kuwa (literally) "dunia inaumizwa sana si na watu waovu bali na ukimya wa watu wema"!
hapa mtoa mada alitaka kulinganisha hotuba hizo tatu na kwa kweli amelinganisha vizuri, Migiro alijieleza vema kuliko wote;
ingawa kweli hotuba si sawa na utendaji
stop xenophobia!
OOh SA, Most countries even suffered for you guys!
Wish tata Madiba a peaciful rest by doing what he would think as fair to his fellow Africans
watoto ni malaika; hawajui baya hatari na raha, wnaweza kufanya mzaha hata kwenye hatari; Mungu tu anawalinda na kutia huruma ktk wale ambao wangewatesa na badala yake wakawaokoa ama kuwaonea huruma
chato kumekucha, huwezi kuzuia mvua kunyesha, maeneo yote hali si nzuri kwa ccm, kuanzia Muganza, Kibehe, Chato mpaka Buseresere, na hata Katoro CDM na ukawa wamefanya vizuri
hahaha! said michael, aisee ni sheedar kweli mkuu!
wakati mwingine tujifunze kukili kama mziki uchezwao kasi yake inapita mazoezi yako ili uwaachie wengine wacheze.
big up!
mambo yanaweza yakazidi kuwa mabaya zaidi upande huo ambako mzani huu uananza kuegemea, kiasi kwamba hata hiyo coalition govt yaweza kuwa majaliwa!
vijijini mambo ni zaidi ya matokea haya; hata CCM walioshinda sehemu nyingi ni kwa margin ndogo sana.
Kwa hili hata ukiwa na mpezi mmoja kutegemea na jinsi mnavyotumiana. kama unatumia mara tatu kwa siku, kwa wiki nzima na kwa mwaka wote; unaweza ukaona ilivyo namba kubwa zaidi ya hata huyo anayevamia leo huyu kesho yule na keshokutwa akose pengine na hata wiki nzima asipate
sikusikia mchango wake juu ya hili akiwa bunge lililomalizika punde; haya hayana maana sana kwa sasa kuyasikia kwa mtu ambaye anajipambanua kuwa miongozi wa wenye ndoto za urais.
watakuwa dotcom youth abao hata maana ya mke hawajui; ama basi wanaojali tu maslahi yao bila kuzingatia wangapi wanaumizwa na maamuzi yao; hivi hata walifikiria watafanyaje juu ya watoto kama wanao au watawasimuliaje kama hawajapata watoto?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.