kumwacha mkeo eti kisa dini haniingii akilini labda kama kuna inshu nyingine tofauti na dini.
kuhusu watoto kufuata dini ya mama yao inategemeana na jinsi mnavyoishi umo ndani.
kwani wakati mnafunga ndoa mlifungia ktk dini ipi? pale mlipofungia ndoa ndipo watoto wako/wenu wanapotakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.