Uwiii mbavu zangu nimechakaje !!!! Au kijana umepost hii kuchekesha umati!!!! Ila kama uko serious kweli kazi unayo. Na unayofundisha ni masomo ni biology na chemistry. Watoto watokomaje chemicla formulas not reacheable.
Tatizo lao hao the comedy sio wabunifu kabisa. Sasa nini maana ya neno comedy? Yani badala ya kuchekesha wao wanasubiri matukio yayotokea nchini kuanzia mijadala bungeni hadi maisha ya wasanii ndio wanayaigiza eti ndio wachekeshaji hao. Shame on u. Wajaribu kuwa wabunifu. Hao madokta wenyewe...
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu. Kwa upande mmoja ni sawa walivyomfanyia coz wao kupitia migomo yao wanasabibisha watu wanakufa kwa kutokupata matibabu!!! Acha naye akipate cha moto. However kibinadamu pia hakutendewa haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.