wewe ulieamka mbona uko hapa hapa wakati nchi hii inaibiwa kila kukicha na akina Mkwere & co? akili zako ndogo ndio zinakusumbuwa, unao uhuru wa kutoamini, lakini usiladhimishe watu waamini kile unachoami wewe. mfano kama wewe unaona kuingiliwa kinyume na maumbile nisafi, unataka kutulazimisha...
kwani hapa mnamzungumzia Maggid yupi? ni yule mwenyewe watoto wazungu wakati yeye ni mweusi kama mjaluo! au ni Maggid yupi huyo? kama ni yule ninaemjuwa mimi mbona akili zake alishazifungia stoo tangu kipindi cha kampeni? sitegemei jipya kutoka kwa mtu huyu.
Kijana inaonekana unatafuta basha humu JF? maana kila mtu unamshushia matusi usidhani watu wasochangia hawaoni, sisi wengine kila siku tupo humu JF lakini sio lazima uchangie huwa tunasoma michango ya wenzetu halafu tunaendela na safari zetu, nidhamu ndogo unayoionesha humu inaonekana ni athari...
Jamani kuna mtindo humu umezuka ukimkosoa mtu ambaye ana kaumaarufu fulani unaonekana una chuki binafsi, sasa nawaomba wote tusome tena upya mstari baada ya mstari wa thread hii ya Majjid, mimi nimeshindwa kuelewa hicho alichokiita hotuba ya kihistoria ni kipi? au baada ya kupunjwa posho zenu...
Kwa hiyo mkuu waberoya huyu bwana kuuita mwili wa hayati baba wa taifa ni MZOGA kwako wewe ndio vigenzo kwamba huyu ndio mwanasiasa kwelikweli, basi kazi ipo.
Sasa mkuu hizi video zote zinapatikana youtube sioni sababu yoyote ya msingi ya kutujazia ukarasa hapa. kama nia yako ni kuelimisha kwa wale wasiowaelewa tafadhali toa link na video moja inatosha. na wewe jifunze kucoment kutoka kichwani mwako, na sio copy and paste.
Teja la unga hili zee ndio kilichomuuwa, kumbuka Holland kila kitu kilichoharamishwa hapa duniani pale ni ruksa, ndio maana wavuta bangi wote na mateja kama huyu mzee Amsterdam ndio dream city yao. period.
Hapo kwenye RED unaonaje kama tukimfanya huyo ndugu kuwa rais wa dunia, mimi naona Tanzania ndogo sana na sio hadhi yake, maana naamini huyu bwana ana akili kuliko kiumbe yeyote dunia hii, hivyo basi nashauri awe rais wa dunia.
Tatizo lako mkuu Spencer unashindwa kusoma alama za nyakati na umeshindwa kuread between the line, mimi si wa hivyo, na siwezi kuwa mtu wa hovyohovyo, na najuwa namna ya kufikiri vizuri.
Ulikuwa huna kazi ya kufanya au ulikuwa umepigika kiasi hata ngawila za kwenda kwenye social enjoeyment ikakupiga chenga, hivi ni nani mwenye akili timamu akae kwenye runinga kutegemea kwamba mkwere atakuja na jambo jipya au la maana? kama unaishi Dar karibu hapa Club san siro tugawane umaskini...
Nikisema nikujibu kwa ufasaha ulichoandika hapa nina uhakika utasema nimekutukana au nimekuzaririsha, wacha tu nipite niangalie thread za watu wengine, maana shida kubwa hapa hatujuwani umri wala kiwango cha elimu.
Uko sahihi kabisa hata Rostam Aziz ameajili watanzania wenzetu wengi sana kwahiyo tumthamini mana tukimtia lupango watanzania wenzetu watateseka, verry good.
Mkuu spencer, pamoja kwamba mimi sipendi wala kukubaliana na Dar es salaam katia mlengo wake, ila kwenye hili tumtendee haki, alichopost ndio ukweli wenyewe,uwezi kumuita mtu fisadi halafu wewe huyohuyo unatokea mlango wa nyuma unakwenda kuchukuwa pesa kwa mtu huyo huyo, hapana siwezi kumsapoti...
Siasa zake amehamishia ukumbi wa habari maelezo na mahakamani, in simple way you can say Mtikila is no longer exsist. mbaya zaidi alichukuwa sh million 10 kwa rostam Aziz, na rostam akathibitisha mbele ya media petty cash vocha aliyosaini Mtikila. amepoteza public sypathy,
Mimi kwa maoni yangu nasema bado watanzania wana maisha matamu sana ndio maana wengi wao vichwa ni konokono, humu wengine wanaochangia michango ya kubeza maendeleo msidhani wote wametumwa na ccm, hapana, wengi wao hata hayo makazi wanakaa kwa shemeji zao, waliowaolea dada zao, unakuta mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.