Samahanini wana jf mimi nina vifaa vya salon ya kike nina kila kitu sasa nachohitaji ni bank gani inayoweza kunipatia mkopo wa laki 5 tu nataka nikodishe flem nifungue salon problem yangu ni kodi vifaa ninavyo na wateja ninao ni mzoefu wa kazi ya salon
Nakuomba Raisi JPM fukuza machinga woootee wanaofanya biashara barabaran naichukia sana hii mijitu kwan hata wadada tukipita inaanza kutuvuta vuta na kutushika maungo yenu kuna siku nilimnasa bonge la Kofi ( lkn sio kofiolomide) machinga m1 pale karume
Anajitafutia yeye mwenyewe kuchukiwa coz anapenda sana kiki za kishamba wema anapenda kuona muda wote wanamuongelea yeye tu midomoni wangapi hawana watoto mbn hawatukanwi km yeye anavyotukanwa deileeee wolper hana mtoto jide hana mtoto lkn walaa hawana habari , lkn sasa yeye toka 2006 mpk sasa...
Mjinga m1 huyo eti nimeweka no yng hapo nimeomba kutumiwa nyimbo ya ney na tayar nimeshatumiwa wenzie wastaarabu walikuja whatsApp moja kwa moja eti yeye limesubiri saa hz linaanza kunisumbua kunipigia ovyo Uck huu kila nikikata bado halielewi kwan hii namba nilimuekea yeye hapo anipigie usiku...
Wewe mwenye namba 0656616295 ukome tena ushike adabu yako mpumbavu mkubwa ww ukome ukomae km ukivyokoma kwny ziwa la mama ako najua umetokea hapa shoga mkubwa wee
Njoo unifungulie salon ya kike maana nina kila kitu mfano madraya makopo ya dawa viti nk hela ya kukodishia flem ndo sina ni PM tuongee business serious brow salon ya kike inalipa sana istoshe nina Wateja wng
Daah kumbe na mimi lile baba boss lingeniua nilipokuwa nafanya kazi Znz coz liliniingilia chumbani ghafla bin vuuup sasa hizo purukushan zake Mungu pekee ndo alikuwa akushuhudia daah! Rip mdada na apewe adhabu Kali huyo m'baba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.