Ila hii dunia haiko fair kabisa kila saa single mama single mama kwa nini tusiweke mada kudiscuss wababa wa hao watoto wa single mama, au walijizalisha jamani???
Kwa kweli kuna haja ya kila mtanzania kujitizama upya haswa kwenye utendaji wa kazi la sivyo hata rais aje wa aina gani haitasaidia mi nina mfano kuna sehemu bomba la maji linavuja miaka watu wa idara ya maji wanakuja hapo kila mara lakini hawalirekebishi wapo tu wanaangalia je wanahitaji rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.