hello wana jamvi,
Mimi ni muhitimu wa shahada ya Computer Engineering. Natafuta kazi kwenye field hiyo.
Nna ujuzi na uzoefu katika maeneo ya programming(VB.Net, java), website development, web applications, database design and administration.
Pia naweza kufundisha masomo ya IT na physics na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.