Hatimaye raisi wa nchi ya Algeria ndg. Abdelaziz Bouteflika ajiuzulu nafasi yake baada ya shinikizo kubwa alilolipata kutoka kwa jeshi la nchi hiyo na wandamanaji walioandamana kwa wiki kadhaa.
Raisi huyo aliyedumu madarakani kwa miaka ishirini na akiwa katika mchakato wa kutafuta kuwania...
Hatimaye raisi wa nchi ya Algeria ndg. Abdelaziz Bouteflika ajiuzulu nafasi yake baada ya shinikizo kubwa alilolipata kutoka kwa jeshi la nchi hiyo na wandamanaji walioandamana kwa wiki kadhaa.
Raisi huyo aliyedumu madarakani kwa miaka ishirini na akiwa katika mchakato wa kutafuta kuwania...
Habari wadau. Pamoja na changamoto nyingi za foleni tunazokutana nazo (especially kwa wakazi wa Dsm) ambazo kwa namna moja au nyingine zinachangia kukwamisha au kupunguza ufanisi wa kazi zetu, lakini nimeona tukumbushane tu kuhusu matumizi ya barabara especially kwa wale tunaopenda kuingia...
MKAZI wa Kijiji cha Bisarwi, kata ya Manga, tarafa ya Inano, wilayani Tarime, mkoani Mara, Mwita Nyagosaima (31) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Tarime akidaiwa kuvamia usiku nyumbani kwa Magesa Alphonce na kupora bunduki na Sh milioni 5.
Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa mtuhumiwa akiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.