Baada ya mahakama kufutilia mbali kesi iliyokuwa inamkabili mbunge huyo Bw. Joshua Nassari,
ameongea na vyombo vya habari na kusema kuwa maandamano makubwa yakiambatana na mikutano ya kisiasa itaanza tar 1 Septemba katika jimbo lake ikiwahusisha viongozi wote na wafuasi wa chama chake.
Chanzo...
Kwa kitendo alichokifanya leo bungeni personally naona yupo sahihi,
Hii ni kutoana na kwamba hana uchungu na wananchi wa Tanzania,
Sababu kuu ni kwamba hatujampigia kura kyuingia bungenii, wala hatuhusu wananchi,
Ndo mana leo hii hadi wabunge wa cham chake wameamua kumgeuka.
Je anafanya...
Wasalaam,
Nimefuatilia taarifa ya habari ya Azam TV leo tare 07.04.2016 saa mbili usiku pale mtangazaji Kassimuu Kayiraa alipokuwa akimuhoji waziri wa zamani wa Rwanda juu ya ziara ya rais JPM nchini Rwanda,
Cha kushangaza mtangazaji huyu mara kwa mara amekuwa akichombeza kuwa "HUYU NI WAZIRI...
Waziri wa mambo ya nje mh. Mahiga amesema serikali imesikitishwa na kusitishwa kwa mgao wa fedha za MCC kwani itaathiri sana suala la nishati hususani umeme vijijini.
Akaongeza kwamba haya ni matokeo ya nchi kuwa tegemezi.
Chanzo: ITV habari saa mbili usiku, tar 29.03.2016
Nimeona taarifa ya habari jioni hii itvv ikimuonyesha maalim sef akizungumzia hali ya kisiasa zenji na kuwasihi wananchi wawe na subira huku akieleza kuwa suala hilo lipo chini ya katiba na wao wananchi.
Kilichonifanya nilete uzi huu ni ukaribu wa maalim na Karumee wakiwa bega kwa bega na mzee...
Ki ukweli sijaelewa mantiki ya kipindi hiki kwani kimelenga kuzungumzia mchakato mzima wa uchaguzi kwa Lowasa hadi kupiga kura na matokeo.
My take:
Nazikubali busara za lowasa ila kwasasa ningemshauri atulie tu.
Nianze kwa kusema tu mimi sio mwanachama wa chama chochote,
Ila tu ni mpenda mabadiliko ya kweli na ya dhati ndani ya nchi yetu pendwa Tanzania
Nikiri kwamba Mbowee kakifikisha chama mbali na sasa anakiua kwa mbaaali,
Mfano ni teuzi ya viti maalum hadi kwa madiwani iemeleta mushkeri sana,
Mana...
Lile sakata la ununuzi wa mabehewa mabovu sasa limefika pahala pake ambapo katibu mkuu wizara ya uchukuzi ndugu. Shaban Mwinjaka kuagiza wahusika wote wafikishwe mahakamani haraka iwezekanavyo kwa upotevu huo wa rasilimali za umma.
Chanzo: Azam News
My take: Je, yule waziri husika anakwepa hili?
Mod najua na uzi huu mtaufuta,
Lakini niwaambie tu kwa kifupi kuwa tuwe makini na sheria mpya
ya makosa ya kimtandao na mod wa JF,
Hii ni kutokana na kwamba kamchezo ka ku edit thread ya watu bila makubaliano na mhusika ni mbaya
hususani kipindi hiki ambacho sheria ya makosa ya kimtandao inaanza...
Wanajamvi naomba nitoe maoni yangu kwa ufupi kwenye thread yangu hii ya mwisho ndani ya JF kama ifuatavyo:
Najiuliza maswali mengi kila kukicha kuwa hivi ni kweli tume ya uchaguzi itatenda haki? Hii ni kutokana na kwamba tume ya uchaguzi si huru, mana viongozi wake wamechaguliwa na kiongozi wa...
wadau habari za mchana huu,
Kuna habari zisizo rasmi kwamba Mwenyekiti wa CCM MKoa wa Irnga Bi. Jesca Mutavangu amepigwa stop kushiriki masuala ya siasa kwa muda wa miezi kumi na miwili???
Mwenye habari kamili atujuze tafadhali.
Kwa ninachofahamu pale Iringa: Jesca alikuwa anataka kugomba...
Hi to all wana JF, heshima kwenu wanajamvi, i have been single for quite long time now and i came to realize that now its the right time for me to find someone who will be my future father of my kids. Mana kuna rafiki yangu yupo humu ndo akanishawishi nijiunge humu ntampata tu. Me ni mwanamke...
habari za jioni wana jf,poleni na mishughuliko na pilika pilika za hapa na pale za kutaka kujikwamua kiuchumi huku wakubwa wakiwa bado wamekaba hadi penalty.Kwa wana jf waliopo tanga wote naomba mnipokeeni na kunionesha maeneo jiji hili mana serikali imeamua nije niwahudumie watanzania waishio...
natamani sukari kilo 1 iwe 100,000
unga kilo 1 - 50,000
chumvi kilo 1 - 80,000
mafuta ya kupikia lita 1 - 200,000
bill za umeme na maji kwa mwezi ziwe 2,000,000 @
na vinginevyo hapo ndo tutakapoamua vizuri mana wananchi wanafanya maamuzi kwa mazoea tu.
nimekua nikifuatilia uchaguzi wa Igunga kwenye televisheni mbalimbali toka asubuhi lakini cha kushangaza ile tunayoifahamu kama televisheni ya Taifa ndo kwaanza haitoi hata updates ya kinachoendela huko
je matokeo ya vituo mbalimbali yanayotangazwa ndo yanawakatisha tamaa kutangaza habari za...
LAS VEGAS (AP)In just one round, Floyd Mayweather Jr. got a head butt, a kiss and a hug from Victor Ortiz.
He responded with a right hand that ended a bizarre fight early.
The end came just as the two fighters emerged from a break, in which Ortiz had embraced Mayweather in the center of the...
nakumbuka enzi hzo mnawakuta form 3 na 4 ndo wababe wa shule full utemi unatumwa kwenda kununua vitu vinvyozidi gharama ya hela unayopewa na kaka wa form 4. mfano anakupa sh 50 af anakwambia kaninunulie maandazi,sabuni ya kipande na ya unga,na chenji irudi daah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.