kishawishi cha kwanza ni pale macho yanapoangalia umbile la mtu jinsi lilivyochongwa kwa kubanwa na mavazi aliyovaa, hivyo kutokana na ushawishi huo fikra huanza kujengeka na matamanio hupatikana hatima yake ni zinaa inachukua mkondo wake.. lakini endapo mtu atajiweka mbali na mavazi yasiyo...
Uvaaji wa mavazi mavazi mabaya kwa mabinti na akina mama pamoja na unywaji wa pombe ndio chanzo kikuu cha maambukizi ya UKIMWI.
Serikali haikuwa na haja ya kufanya kampeni ya uvaaji mipira na kuwa na mpenzi mmoja bali ingetosha kusisimamia vyema mavazi ya hekima kwa jinsi zote pamoja na unywaji...
Tatizo la mitandao yetu ni tamaa ya kupata faida kubwa kwa kubana huduma zao na ushindani usiokuwa na tija kwa wateja wao ila customer wanapoamua kuhamia mtandao mwingine hujifanya kuboresha huduma tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.