Wana-Fb pole na kazi.
Nimeamua kuja na suala la fedha zilizowahi kutajwa na Mh. Zitto kuwa zimefichwa kwenye benki za SWISSI, na kuwa alikuwa tayari kusaidiana na kamati yoyote ili kuweza kurudisha pesa hizo za WALAKA-HOi hapa Tanzania, "ZOEZI au JITIHADA zake ziliishia wapi?" Juhudi zifanywe...
Pale JHPIEGO kuna kikundi cha wafanyakazi kwenye idara ya rasirimali-watu wameunda kikundi cha watu nchi nzima, hasa maeneo shirika linakofanya kazi au kutegemea kufanyakazi, ili kuwarubuni watu wanaotafuata kazi kwa nafasi zinazotangazwa na kuwarubuni kutoa sh. 500,000/- ili waweze ajiriwa...
Pale JHPIEGO kuna kikundi cha wafanyakazi kwenye idara ya rasirimali-watu wameunda kikundi cha watu nchi nzima, hasa maeneo shirika linakofanya kazi au kutegemea kufanyakazi, ili kuwarubuni watu wanaotafuata kazi kwa nafasi zinazotangazwa na kuwarubuni kutoa sh. 500,000/- ili waweze ajiriwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.