Search results

  1. T

    Pesa za kifisadi zilizofichwa Uswisi-Geneva

    Wana-Fb pole na kazi. Nimeamua kuja na suala la fedha zilizowahi kutajwa na Mh. Zitto kuwa zimefichwa kwenye benki za SWISSI, na kuwa alikuwa tayari kusaidiana na kamati yoyote ili kuweza kurudisha pesa hizo za WALAKA-HOi hapa Tanzania, "ZOEZI au JITIHADA zake ziliishia wapi?" Juhudi zifanywe...
  2. T

    Kulikoni JHPIEGO Dar es Salaam

    Pale JHPIEGO kuna kikundi cha wafanyakazi kwenye idara ya rasirimali-watu wameunda kikundi cha watu nchi nzima, hasa maeneo shirika linakofanya kazi au kutegemea kufanyakazi, ili kuwarubuni watu wanaotafuata kazi kwa nafasi zinazotangazwa na kuwarubuni kutoa sh. 500,000/- ili waweze ajiriwa...
  3. T

    Uchunguzi wa kina ufanyike juu ya ufisadi wa baadhi ya wafanyakazi wa JHPIEGO

    Pale JHPIEGO kuna kikundi cha wafanyakazi kwenye idara ya rasirimali-watu wameunda kikundi cha watu nchi nzima, hasa maeneo shirika linakofanya kazi au kutegemea kufanyakazi, ili kuwarubuni watu wanaotafuata kazi kwa nafasi zinazotangazwa na kuwarubuni kutoa sh. 500,000/- ili waweze ajiriwa...
Back
Top Bottom