We jamaa mhhh!!!!!!!!! hata ukisikia majipu we lako limezidi na naomba magufuri akupotezee maana hawa watu wako fair sana labda ujichanganye mwenyewe kwenye interview lakini kwa taarifa hawana upendeleo.
Hili dogo ndezi kama nini basi tu lakini ningekuwa magufuri huyu dogo nsaizi ningeanza nae kama jipu la kwanza maana mhhh!!!!!!!!!!!!!!! Riz moko ni fisadi la kufa mtu tena ni zaidi ya mzee wa vijicent na yule mama wa pesa ya mboga. Lakini nnajua magufuri hatamfanya lolote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.