kwa itikad za vyama tz tunaelekea kubaya aisee.....lakn naamin mungu yupo na kwa wanenao mabaya kwa walofikwa na umauti pigo lenu liko njian laja.....jiangalieni sana watz hali itakua mbaya sana pale ambapo ww yatakukuta ila kwa kua yapo kwa mwenzio ni rahis sana......let us wait ze...
afanyeee ivoivo hakuna uchonganishi hapa....kikwete kakufanyia nin ww au ndo maisha bora kwa kila mtanzania.....hahaaahaaa safar hii walizma wanyoookeee....haiwezekan wale wachache.....ukitaka kufa kibudu bas leta utani na magufuli...utaishia kuokota makopo....hahaaahaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.