Huyu ndiye JPM baba haijawahi tokea duniani rais anayeipenda nchi yake kama jembe letu. Amekuja wakati muafaka wakati nchi ilikuwa imehamia mfukoni mwa mafisadi. Sasa hivi ni maendekeo kwa kwenda mbele. Mabeberu wataendelea kutuletea hela zao na tunazitumia kwenye mambo ya maendeleo. Viva JPM
Mohamed Said yupo vizuri, hapepesi macho. Ni msomi na mwenye kuujua uislam. Ana busara ya hali ya juu sana. Amesema vyema sana katika mjadala huo. Mtu analalamikiwa kwa kuwabinya waislam halafu anapandishwa cheo ili awabinye vizuri wailam. Uislam ni dini ya amani ljn si dini ya kuonewa kama...
Chama chenye agenda zilizonyooka. Wengine ni kulalama tu, mara kuna watu wamelpigwa risasi hawajatibiwa, mara msajili ana agenda ya kukifuta chama! Akikifuta chama kile itakuwa swaaafi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.