Sasa ndugu kama wanaweza shauri na viongozi wasifuate ushauri wao why should we have them? If we know this guys are toothless....sasa umadhubut wao uko wapi kama taifa linaendelea kuangamia? I realy appreciate to some extent military inteligence but not TISS...
Umenena kweli mkuu...hata hivyo hawa jamaa wa TISS naona kama wako kisiasa zaidi na si kumtetea mtanzania wa kawaida na ndo sabab tuna vitu kama EPA,Mikataba mibov ya madin,Escro account, IPTL ,kutoroshwa twiga,ujangili na madudu mengine kibao? They would have foreseen that and prevent or advice...
Tunahitaji viongozi wenye dhamira ya dhati kuondoa tatizo hili..je nini kifanyike?
Miaka kadhaa iliyopita tulijitahidi kua na viwanda ili kukuza ajira lakini mafisadi wakaviua hebu kumbuka General tire, fibre board, viwanda vya nguo karibu kila mkoa, reli iliyokua bora kwa kipindi kile n.k sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.