Search results

  1. Dkt. Gwajima D

    Tupe maoni, ushauri, dokezo: Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Makundi Maalum

    Hii iliwahi kuzunguka ikasemekana na walioitambua kuwa ni nje ya nchi na ya zamani sana. Shukrani
  2. Dkt. Gwajima D

    Siku ya Familia 15 Mei Yaja

    Habari za asubuhi. Pole Sana kwa kadhia hii. Umeziona mara nyingi je ngapi umetuletea tufanye review ndugu yangu? Tumetangaza call center yetu hadi namba zangu binafsi unatuma ujumbe. Hebu Leo lete sasa tufanye review tuone nani huyo anakiuka huduma kwa usawa. Shukrani
  3. Dkt. Gwajima D

    Siku ya Familia 15 Mei Yaja

    Wasaalam Wana Jukwaa wote. Tunaelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia hapo Mei 15, 2024 ambapo, nchi yetu tutaungana na zingine duniani kuadhimisha. Familia ni chanzo cha jamii yetu hivyo, ni kiungo muhimu sana kwa maendeleo na ustawi wa jamii. Malezi bora kwa watoto ndani ya...
  4. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Utaratibu wa kuasili watoto mapacha unafana na watoto wengine. Kanuni ya kuasili 3(e) hairuhusiwi kuwatenganisha watoto ndugu. Kuhusu vigezo vikuu; vigezo vyote kuasili ni vikuu kwa ulinzi na usalama wa mtoto na ni njia mojawapo ya kujiridhisha kwamba mtu ametimiza vigezo Umri wa kuasili...
  5. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Ndiyo Sasa nimepata fursa ngoja niyakusanye sasa hivi nimpe kamishna wa ustawi anipe majibu nirudi hapa sasa nikupe. Mambo mengi ndugu zangu, kuna wakati napotea kuendelea na mengine narejea tena. Subiri tafadhali, shukrani
  6. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Naomba niyachukue maswali yenu yote kesho Kamishna wa Ustawi ayajibu vizuri kisha nitapandisha hapa majibu yote. Wengine nao waulize tu. Ahsanteni Sana kwa mwitikio wenu🤝
  7. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Ahsante Sana kwa maoni. Kwa kuwa huduma hiyo Iko wizara ya afya, tutaratibu kikao cha mashirikiano kuwasilisha maoni haya. Naomba tu muwe critical, Changomoto Iko eneo gani la huduma hiyo tafadhali
  8. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Wakati ule ikitungwa sheria iliyopo ilikuwa hivyo, ila sheria zote hubadilika kwa nyakati kulingana na maoni ya watumiaji wa sheria na taarifa za kitafiti na uzoefu mbalimbali. Hivyo, tunapokea maoni. Shukrani
  9. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Ahsante Sana kwa swali zuri. Kwa sasa sheria iliyopo hairuhusu mwanaume. Toa maoni yako tafadhali
  10. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Ahsante kwa swali zuri. Ukishapewa kibali, unaenda mwenyewe kuchagua ukiongozwa na Afisa Ustawi wa Jamii. Taarifa stahiki muhimu utapewa huko huko.
  11. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Muda ni Mwalimu mwema kwa Kila swali. Tuzidi kupambanua kile Mungu ameweka ndani yetu, muda wetu ni mfupi na unapita kasi, saa inakuja ya kuuona uso wake na kupimwa kwa mizani yake. Nakutakia Heri na Baraka za Mungu. 🤝
  12. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Mje mpate elimu tafadhali
  13. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Ahsante Sana kwa kujitoa kuelimisha, huu ndiyo ushirikiano wa wadau 🙏🏽
  14. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Kifupi alidanganywa, angeibiwa, huo ni utapeli na ula rushwa. Hakuna malipo. Kama Yuko tayari anitumie ujumbe tuchunguze Ili aliyeomba hizo hela achukuliwe hatua. Hapa nahitaji ushirikiano wako tafadhali.
  15. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Ahsante Sana kufuatilia mjadala huu na kuchangia. Tumetoa namba hizo za call center za wizara Ili kama ikitokea tumechelewa kuona hapa basi fuatilieni kwenye namba hizo. Ufafanuzi kwa ufupi; 1. Sheria imeruhusu kuasili mtoto wa umri wowote ila limitation ya umri imewekwa kwa waombaji/adoptive...
  16. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Aleikum Salaam, shukrani 🤲
  17. Dkt. Gwajima D

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Kuna sifa za historia ya mwombaji na uadilifu wake, kutokana na hizo, maamuzi huzingatiwa🙏🏽
Back
Top Bottom