Wewe mwenyewe ndio my favorite. Hata kama Kuna sehemu kibao ulikua unauma-nje you ware still my favorite.
Mostly ni vile unaisaka pesa na uko serious on it hata hujaonyesha dalili za kuwa ngoswe baada ya warimbwende kufanya bidii ya kukukimbilia na umenifunza sana hapo
, ulinunua Bajaj...
IRYN: “I’m yours now.”
MIMI: “Are you serious? You’re m…”
Nilijikuta nimevutwa nimepewa ulimi kwa haraka ni kama alikuwa ananinyamazisha,… aisee ngoja tuishiie hapa kwa leo
Huu wimbo ni Bora kabisa. Jana jioni nilikua nausikiliza taratiibu nikitoka kazini na stress za maisha ya kila siku
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Nimechoka kuwa mpenzi msomaji
Sasa niwe mpenzi mkomentiji.
Hakunaga Demokrasia kwenye mahusiano au Ndoa ila hii Demokrasia yako tena multiparty inatupeleka kusiko
Enewei mwambie Prisca achukuwe muhtasari wa kikao maana kaamua kuwa Katibu muhtasi
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums...
Nnakujibu Kwa kuchelewa ila. Niliagiza mwaka jana na nipo nnadunda nayo sijapata changamoto yoyote tangu ifike na safari za above 500 km non stop imefanya za kutosha tu. Kama wewe ni mtunzaji hizo ten years itafika ila kama sio mtunzaji hata upewe land cruiser haitafika
Mkuu kichuguu pole na majukumu ya kutusaidia watanzania wenzako.
Gari yangu inawasha taa ya over heat kila nikitembea zaidi ya km 160-180 na kwa mara ya kwanza ilipandisha na nilitakiwa kusimama kila baada ya km chache ili kusubiri engine ipoe baada ya safari hiyo nilienda kwa fundi akaniambia...
Angeulizwa akiwa mlimani angesema siwezi thubutu kufanya huu upuuzi tena. Ni majibu niliyoyatoa mimi
Ila kwa sasa natamani hata kesho niambiwe anza maandalizi ya Kilimanjaro hiking
Sent using Jamii Forums mobile app
I had full preparation but tulilala crater na kwasababu ya baridi ya crater nilivaa soks zote asubuhi sikutaka kuzipunguza nikavaa hiking boots tukaanza safari ya kurudi so viatu kubana ndio hapo kucha zikaharibika
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu. Tulishuka kwa two days. The first day nilivaa soks zaidi ya pair moja mixer kujigonga kwenye mawe ndio kucha zikapata damage na zilichange colour to black after two month zilitoka ila zinamea nyingine
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Kilimanjaro hiking ni more than experience. Nilipanda August 2018 na tukalala kilimanjaro crater. Nikiwa mlimani niliulizwa utapanda tena nikajibu never. Kwa sasa natamani kupanda tena na tena ingawa kucha zangu za vidole gumba vya miguu ziling'oka kwasababu ya mlima
Natamani kila mtu apande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.