Watanzania wenzangu, Mh. Raisi Magufuli ana kazi kubwa mbeleyake juu ya kurekebisha hali ya utendaji wa watumishi wa umma nchini. Pendekezolangu ni kwa mwananchi mmoja mmoja kubadili mtindo wa maisha kwani filosofi ya Hapa Kazi Tu itamgusa kila mmoja wetu. Maeneo ambayo nadhanituanze nayo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.