Kuna kiongozi mmoja wa chama tawala aliwahi kusema kuna baadhi ya mambo kwenye nchi hii hayaendi sawa kwasababu baadhi ya mawaziri kuwa ni mizigo.
Wizara ya Maliasili na utalii ni moja ya wizara mzito na ni wizara nyeti sana, napata hofu kwa huyu waziri aliyeteuliwa kuisimamia hiyo wizara mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.