Nimepata point moja hapo kwamba ukiroot cm inakuwa na uwezo was kutunza betri, naomba kujua maana ya kuroot ili nami niroot cm yangu kwan ninapowasha data cm yangu inakula chaji haraka sana
Nimestuka kweli,kusikia Masuguru nilidhani huku kusini kumbe kuna masuguru nyingine huko muheza Tanga,cjui masuguru ya huku kusini nao wana madawati au la! Cause ni kijijini sana kando ya mto ruvuma,border ya mozambique
Jamani mwenzenu cjaelewa bado tunaangalia sasa hivi,ili tununue cm original au tunangoja hiyo june 17 ndiyo tujue cm zetu feki ili tuingie dukan kwa manunuzi ya cm nzuri zinazokubalika,ufafanuzi tafadhali mwenzenu mmeniacha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.