Habari wana jf...mi ni msichana nna 27yrs nina degree ya mass communication. .natafuta kazi hata kama isiyoendana na professional yangu sababu nimeshafanya kazi ya customer service that was my last job..pia nimefanya kazi ya data entry .. kwa kuanza sichagui aina ya kazi coz najua safari moja...
Aiseee wana jf humu ni kiboko..yan usithubutu kusema u are single watakua wageni wako wa ghafla huko kwenye pm..yan jana nimeongea swala la kumuomba Mungu anipe mume 2016,nimepata waume wema kibao huko kwenye pm yan mtu anajiexpress hadi unabaki kucheka...ni nini kuniletea jam huko..afu wana...
Yan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja kutoa feed back humu December 2016.. najua kuna wanawake wenzangu ambao nao wanaomba iwe hvo..hamna...
Yani nina 92kg nataka kupunguza uzito wa mwili at least nifike 80 if not 75 nataka mnishauri diet nzuri itakayo nisaidia nafanya mazoezi kidogo though sitaki dawa za kunywa ili nipungue uzito no.
Nataka ushauri wa diet tuu my meal arrangement basi.
(pls nipo serious maana kuna wengine...
Duuuuh kua single ni shida saa ingine...yes unakua free at times but being with someone pia ina umuhimu wake.namiss kudeka,kuulizana uko wap, hangout na kuzinguana sometimes. .hahahahaaa (msipanic basi..i just say wat i fill maana kuna watu wana maushauri ya kuumiza roho).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.