Habari wana jf...mi ni msichana nna 27yrs nina degree ya mass communication. .natafuta kazi hata kama isiyoendana na professional yangu sababu nimeshafanya kazi ya customer service that was my last job..pia nimefanya kazi ya data entry .. kwa kuanza sichagui aina ya kazi coz najua safari moja...
Hahahhaa yan acha tuu..namuuliza kwann umenisave jina la ukoo ananiambia ndo kalizoea hvoo afuu anajiuma jiuma na kujichekeshaa..yan nilitaman kumzabuaaa nilikua nimemsave jina zurii ila kwa hasira nikabadilisha nikamsave emergency hahahhaha
Tatizo umesoma comments na zimekupa hasira ya bure ndo maana umeniambia haya...ila mi sitakumind hebie sema tuu nasikitika hata ww pia umenipa za uso 😂😂😂😂😂 bila kuelewa huo ni utani au kweli...ila fresh haina noma.
Mbona umepanic vepeee...unadaiwa au? Huoni kama inakugharimu kuongea maneno yote hayo kwa mtu usiemjua...hivi una akili kweli 😂😂😂😂
Brenda am very ready tena more than serious. .ila usisome comments zikakuchanganya..my thread is ok i wrote it just for fun..ila pipoz wameexagurate mpaka imeonekana kama big ishu..like seriously watu wangap wanataniana humu an it is ok with them sema sababu nimeandika abt pm imekua...
Kwanza Hv nikikuuliza tabia yangu mbaya hasa ni ipi utanijibu? Pili afu nimewajaribuje hao wanaume nisiowajua? Tatu ukishajijibu angalia kama comment yako inaendana na thread yangu..mwisho kabisa jifunze kusave ur unnecessary bulshits..gudnyt
Weee mi ni mzuri haki vile sikufichii hahahahaa black hvo hvo ..afu nashangaa navoshushuliwa hukoo maana napewa makavu balaa..siku wakiniona watafuta kauli..hahahaha sijui natania?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.