Ukiwa unasajili mnufaika MPYA ukimaliza HESLB itakupa Control Number kisha lipa kwa kisha malipo ya serikali...kisha namba ya malipo hapo bandika control number
Mapungufu ni mengi sana katika Tozo za kielektroniki. Mfano. Kwa NMB insufficient balance transaction inatozwa 600 wakati mteja hajatimiza azimio lake. Wakati huo huo M-Pesa na Wengineo hawana tozo kwa miamala isiyotimiza azimio la mteja.
Kwa ujumla; Mpango huu wa tozo ni kurupuko kubwa kuwahi...
Natumaini mu wazima wa Afya. Poleni Sana wenzangu walio dhaifu kiafya.
Naomba Mnitoe tongotongo wadau wangu. Kwa Muda mrefu nimekuwa nikifuatilia Usajili wa Chuo cha Ufundi. Lengo langu lilikuwa ni Kutaka kujua gharama za Usajili kwa mchakato mzima.
Zaidi ya yote, nikipiga simu Nacte hawapokei...
Darasa I-III
Uraia, Kiswahili na Hisabati
IV-VII
Hisabati, Kiswahili, Historia na Ufundi stadi (LEVEL 1)
Form I-IV (LEVEL 2-3)
Hisabati, Kiswahili, Historia na Ufundi stadi
Form V-VI
Hisabati, Kiswahili, Historia na Ufundi stadi (LEVEL 4-6)
Unatakiwa ule Karanga kwa wingi Sana walau Robo kila Siku unapokimbia na uendelee kukimbia hata Kama unaumia.
Hii itakusaidia kumaliza mafuta ya uzembe yanayokusumbua katika magoti.
Kumbuka haya Ni matibabu ya ukakamavu zaidi. Mimi nimewahi kujitibu kwa njia hii nilipokuwa najifunza kukimbia...
Hujamuelewa mzee😂😂😂
Mzee anamaanisha ukuaji wa Elimu yetu Ni lazima uendane na ukuaji wa Teknolojia. Hivyo vyote vinategemea bajeti imara.
Kama kasi ya ukuaji wa elimu yetu iko nyuma Sana dhidi ya kasi ya ukuaji wa teknolojia Basi wahitimu wa wa kiafrika watapokonywa ajira zao.
Itakapofikia...
Hata hao Wazungu unaowarejea wanakubali kuwa sisi Waafrika tuna vichwa Bora zaidi Yao. Dadeki! Wewe unafikiri kusoma KM 10 kutoka nyumbani na Darasani wapo Wanafunzi 70, mvua ikinyesha kipindi kinaghairishwa na baada ya mwaka mmoja tu wanafunzi wote wanajua kusoma. Hii nayo sio akili ndogo 🚶🚶🚶
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.