Hivi kwa mfano yuke jamaaa wa Kenya alie shida dola 221m ambazo ni tsh 4.8 bilioni za kitanzania yeye alibeti kupitia mtandao upiii maana m-bet na meridian hawana hizo betting za hela nying
Mimi tangu nianze kuomba misaada ya kielimu humu ndani sijawahi kusaidiwa hata kidogo mfano kuna siku niliomba mwenyewe ana Link ya vitabu vya CPA mpaka Leo kimya na members wapo tuu pia niliomba mwenyewe ana maswali ya CPA ya kuhusu bonds kimya.
Ila MTU akianzisha tuu Uzi wa kumponda kiongozi...
Yawezekana mwaka huu mvua nayo ikasimamishwa kwanza ili kupisha uhakiki wa wakulima hewa....
Nawaza tu lakini maana serikari yetu kwa uhakiki wa hewa hewa duh wako vizuri.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Mafunzo ya Ufund, Stella Manyanya.
SERIKALI imetoa Sh bilioni 80 kwa ajili ya malipo ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu wanaoanza na wanaoendelea na masomo na wameanza kulipwa jana.
Aidha, imewataka wakuu wa vyuo ambao hawajawasilisha matokeo ya wanafunzi...
Naomba kama Kuna mtu mwenye huu wimbo ili niwe na sikiliza taratibu maana sijapata hela ya field na sina kitu na nina madeni kibao naomba mnitumie wimbo wa ccm mbele kwa mbele marcomhagama335@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.