Wanasiasa Bana !! Hawa ndo watakao panda kwenye hiyo ndege na Viwembe wachane seat ilikuonyesha ndege ni Used, Wanataka anunue ndege kubwa inatua kwenye viwanja vingapi nchi hii ? hii inatua viwanja karibia vyote vya mikoa, watu wanaanza kwa biashara ya ndani kisha ndio unajitanua !! zile route...
Wakalipe Kodi kwanza kisha ndo wakae wamjadili Rais !!! Hayo ndo makundi ya majangili kwenye Chama ambao wanatakiwa kuondolewa !!! wengi wao wanaotaka kumjadili Rais wanaona Deal zao zimeingiliwa !!!:lock1:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.