watu bhn hivi ww BabM upo sawa kweli? bora angesema mapema ili watu wajipange maana kuna uvumi ulitokea serikal ikakanusha then ilicho kanusha ndo hiki kimetokea leo ?maana yake!
Hamjui lolote kuhusu UDOM na mmekaa kishabiki saana ,, tena wasomi wengi ni watumwa wa siasa hasa vyuo vya serikali wengi wanajipendekeza tuu ,,afu eti lijitu Lina soma vyuo vya kubebana halijui hats supp. Na carry over halafu lina bwabwaja tuu , vyuo vyote vya private vipo kibiashara na...
Karibu saaaana #mtegemea mungu ,hiki ni chuo bora kielimu na hata ramani yake imetulia achana na hivyo vijichuo vya uchochoron ambavyo wanasoma mpaka kozi ambazo hawana msingi nazo yaaani mtu hajawahi kusoma kifaransa o'level ila analazmishwa kusoma chuo kikuu duuu hii hatari yaani eti mtu ana...
Acha zako nani kakwambia udom haina walimu wa kutosha ,udom IPO vizuri mno tens mno kuliko hata hivyo vyuo mnavyo visifia ,waulizeni wale wenzenu walotoka st. Joseph na GPA kubwaaaa kilicho wakuta pia naomba yeyote anajiita mwana UDSM ama anae dharau hiki chuo ache hapa chuoni walau a some hats...
Udom ,no chuo bora na elimu yake ni bora zaidi nilivyo kuwa mtaan kabla ya kujiunga na huo hiki nami niliamini hivyo lakini so kweli hapa ni kazi tuu haina kulemba ,kama unabisha njoo ujionee au Fanya research fupi utapata majibu,, kumbuka anae dharau chuo hiki hajielewi kabisa ama ndo wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.