Huu muungano ni wa ccm na siyo wa wananchi.Ukiwagusa au ukahoji uhalali wa huu muungano hutapewa jibu kwa sababu uko kwa maslahi yao zaidi ili waendelee kugawana madaraka.Labda wajivu wa siasa watuambie aina hii ya muungano uko ktk nchi gani duniani ambao nchi moja inauliwa wkt nyingine inaachwa...
Labda tuambiwe hizo contract ni kwa kada zipi? wahudumu,walimu,majeshi,madaktari au wapi.Nakubaliana na wewe kwenye nafasi za uteuzi zifutwe lkn kwenye mikataba lazima umakini mkubwa unatakiwa.huwezi ajira daktari kwa mkataba wa miaka mitano.hiyo miaka ndoa kwanza anaanza kupata uzoefu halafu...
Katika tembea tembea yangu tarehe 20.04.2024 nilikuwa mkoani Kigoma vijijini sehemu inayoitwa Kazegunga.Tulikuwa na washikaji zangu ktk sehemu fulani tukipata kinywaji baridi.
Mara tukavamiwa na watu watano ambao walijitambulisha kama watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Kigoma vijijini na...
Mimi sioni hàta sababu ya wafanyakazi kumkaribisha raisi kwenye sherehe hiyo.hali ya wastaafu ni tete.wanalipwa malipo ya kila mwezi kati ya 100000 hadi 600000 kwa mwezi.Malipo ya mkupuo no 20M sababu ya kikokotoo sasa kuna haja gani kualika mkuu wa nchi.miaka nenda rudi wastaafu wanahangaika...
Hao ndugu zetu wanapoteza muda si bandari ya mbambabay tu hata kyera,ndumbi, Rundu zote zinaboreshwa wao watueleze aliyesaini huo mkataba wa kijinga ni nani.watasubiri sana hao ndugu zetu wa Malawi
Haya mashangingi wanaonunua pesa wanatoa wapi,majengo marefu wanaojenga faida inaenda wapi,fedha wanazoikopesha serikali hairudishwi na riba,tozo,madege nk
Sio kweli nchi nyingine mtu wa kipato cha chini atleast anamudu basi needs kwa nchi yetu ni tofauti ukizingatia pia uwezo wa fedha kununua bidhaa muhimu umeahika
Tanzania wajinga ni wengi hivyo hawawezi kuwajibishana.Anayetakiwa kuwajibisha naye anafanya mambo yale yale anayofanya anayetakiwa kuwajibishwa.Unakuta kitu bila aibu limebeba nyasi za ng'ombe mchana kweupe but nobody cares.polisi wanaona,ras yupo na dada wake yupo.ukimwona RPC ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.