Leo nataka niwape elimu kidogo kuhusu afrika kusini na maisha yake
Kwa kipindi kirefu mmekuwa mkisikia kuhusu mauaji hususani ya watanzania na mkawa hamuelewi mkawa mnatuhumu kuwa wazawa wanaua wageni hawawataki ipo hivi
Wabongo wengi wa kati ya umri wa miaka 19 mpk 37 wengi huku hawana ajira...
Habari,
Mimi naishi Songea, najishughulisha na ufundi, nimekuja mbele yenu nahitaji mke wa kuoa ambaye ameamua sasa kutulia na familia. Awe single mother, asizidi mtoto mmoja. Nahitaji single mother kwakuwa ninaamini kitu ndani yao, mimi Mngoni.
Sifa za ziada
Awe anajishugulisha.
Awe tayari...
Kuna mwanamke nilikuwa nikiamini nimezaa nae mtoto na mtoto amefikisha mwaka na zaidi Sasa wa kiume ila leo limetokea tatizo
Tulikuwa na ugomvi binafsi ikapelekea mwenzangu akachukia na akaniambia nifute namba zake
Baada ya kuniambia hivyo nikamuuliza nafutaje wakati Mimi na yeye tuna mtoto...
Ndugu zanguni Kama kunamtu humu anakonektioni kwenye kampuni yoyote iliyopo kwenye mgodi wa makaa ya mawe ruvuma anisaidie Mimi ni welder lakini sijui pakuanzia nahitaji msaada nataka nikafukuzie ajira
Lazma tuambiane ukweli ipo hiviiii
Enzi za miaka ya 90s kipindi watu wanakuja kutafuta kazi afrika kusini walikuwa wanatoboa kirahisi kazi zilikuwa kibao kwakuwa natives walikuwa wanapewa na serikali kilakitu bure Hali iliyopelekea wakawa hawafanyi kazi so mgeni ukija kazi unanchukua tu watu...
Ni raisi sana kuiset smartphone yako iwe kama CCTV camera, IPwebcam ndio suluisho la tatizo ilo. Fatana name mpaka mwisho wa Tutorial hii. IPwebcam is easily the best of the lot because it works through your browser, which gives it the cross platform compatibility.
Ili kuset simu yako iwe kama...
Time ya kaiza chiefs imepeleka malalamiko yao caf wakisema hawana imani na marefa kutoka burundi ambao watachezesha mechi dhidi ya Simba
Binafsi Naona jmaa wameanza kugwaya mapema au wanawatikisa marefa
Je kwa taratibu za mpira imebaki sikumoja marefa watabafilishwa?
Kupata pesa nyingi ama utajiri wa haraka huwa matamanio ya watu wengi . Walakini kunao watu ambao kiasi kikubwa cha fedha nusura kiingie mifukoni mwao lakini hawakuzipata kwa kuzikataa wakitaka kupewa zaidi au bahati haikutengenea.
Hii hapa orodha yawatu ambao wamezinusia pesa hizo lakini...
Natumai wazima wote leo nilikuwa natamani tushee Jambo moja na watanzania wenzangu mnaohitaji kuja kutafuta ajira huku SA
Ukweli ni kwamba ajira huenda zikawepo ila siyo kwa watanzania
Huenda hujanielewa watanzania huku hatuaminiki, ni vigumu mtu kukuamini kukupa kazi wengi "wezi' hali...
Habari wakuu nilikuwa natamani kujua je ujenzi wa reli ukifika Dodoma utaendelea mbele? Na kama utaendelea awamu hiyo inaanza lini?
Nia ya kuuliza ni kwamba walituma maombi hapa VETA Songea wakihitaji mafundi na baada ya kupewa majina wapo kimya ni mwezi sasa na ujenzi unakaribia kwisha.
Je...
Habari wakubwa naitwa steven ni kijana wa miaka 25 nipo Songea ni muhitimu wa fani ya welding and metal fabrication mwaka 2019 nia yangu natamani fungue na nisajiri kampuni yangu ya utengenezaji na uuzaji wa furniture za chuma hapa Songea.
Ila changamoto sijui wapi naanzia natamani nifahamu...
Kuna mambo fulani idara ya uhamiaji hawajayaweka sawa
Ukiingia katika tovut ya uhamiaji utakuta kuna vielelezo unavyotakiw kuwa navyo ili upate passport lakini kuna maelezo hawajayaweka vizuri
Mfano:
Kiapo
Wamesema kama huna cheti cha kuzaliwa unatmia kiapo lakin hawajasema kuwa kiapo kina...
Habarini wanandugu.
Nimekuja kwenu naomba ajira mim ni fundi welding nina cheti.
Nina uzoefu kwenye arc pia nina uzoefu wa wastani kwenye MIG welding
Namba yangu hii 0763329715
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.