Ni wazuri mno kma machotara hivi hao madem hawana gharama wengi wanakaa uswahilin kwenye wind house wanavuta mno sigara na bangi kuoa hutoi hata barua ila hawajui kukataa
Huo uzi ni kweli wangu na ni wa mwakajana nia ya kuandika nipo songea ilikuwa kumpata mtu sahihi kwakuwa natarajia kurudi kuishi songea ila kwasasa nipo capetown jimbo la western cape kitongoji cha saldanah ila natarajia kurudi songea ndyomaa nikasema nipo songea
Ningesema nipo south watu...
Bro nimerudi huo uzi ni kweli wangu na ni wa mwakajana nia ya kuandika nipo songea ilikuwa kumpata mtu sahihi kwakuwa natarajia kurudi kuishi songea ila kwasasa nipo capetown jimbo la western cape kitongoji cha saldanah bay
Hapo pichani ni Milnerton maeneo ya Capetown karibu na bandarini karibu...
Nikueleweshe kuhusu huo uzi ni kweli wangu na ni wa mwakajana nia ya kuandika nipo songea ilikuwa kumpata mtu sahihi kwakuwa natarajia kurudi kuishi songea
Mimi bado naishi afrika kusini mji wa Capetown jimbo la western cape kitongoji cha saldanah
Sasa kma ulihisi nakudanganya basi ulikosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.