Hivi ni kipi unadhani Tanzania ingefanya ingeweza kuzuia korona? Angalia USA pamoja na jitihada zao zote za kupambana na korona mpaka ya takwimu za leo new deaths USA 1800+...
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Mambo haya ni ya kumwachia Mungu ingia kwenye net uone Marekani wanaojisifu kuwa na vifaa vya kutosha uone watu wanaokufa kila siku. Uwe serious, usiwe serious hili gonjwa halina cha kujiandaa au kwamba una vifaa tiba bora.
Tuendelee kumtumaini Mungu...
Sent from my Infinix X655 using...
Soon mtajua hizo gari sio kwa Alshabab. 2022 hiyo ndiyo mtajua matumizi ya hizo gari. Mark my words.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Mambo mengine ni kumwachia Mungu tu. Hivi mnadhani USA wanakokufa watu 2000+ Hawana mbinu kama sisi?
Mungu yeye anajua kabisa hili gonjwa halina cha kujihami wala kwamba umejipanga. Likija limekuja hakuna cha kwamba una huduma nzuri za afya wala kwamba una mipango mizuri.
Ndiyo maana Magufuli...
Jitahidi kuwa unakunywa maji ya moto au uvuguvugu baada ya mazoezi. Hakikisha unakunywa maji ya kutosha. Dehydration mara nyingi husababisha muscle cramping.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Kama mtoa mada umeshindwa kutambua fursa za ajira zinazotengenezwa na serikali hii basi unapaswa kurudi shuleni.
Mradi mkubwa wa umeme utafungua fursa za ajira kwa sababu kwanza utavutia uwekezaji wa viwanda kwa sababu nishati itakuwa inapatikana kwa uhakika. Viwanda vikifunguliwa ajira...
Kwa utapeli wenu mliwalaghai Rwanda na Uganda mkaunda Northern Corridor. Haikudumu hata miezi sita Rwanda wakarudi Tz, Uganda nao wanatumia Tz ajabu hata mizigo ya South Sudan inapita Tz.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Mnajitapa mna uchumi imara wakati, Tanzania tukiweka vikwazo mnaanza kutapatapa... Mnarudi na kupiga magoti. Tanzania tumeshawekewa vikwazo na US na Ulaya lakini hatukuwahi kutetereka, maisha yanaendelea kama kawaida. Hata sasa Umoja wa Ulaya walijifanya kupiga kelele tukawarudishia pesa yao...
Uongo mtupu wakati wakenya siku zote wako Tanzania kusaka green pasture, Tanzania kwao wanaona ina maslahi mazuri. Hadi wengine wanafanya kazi chini ya taaluma yao kisa zinalipa sana. Huwezi amini baadhi ya taasisi zilikuwa zinaajiri wa kenya kisa ni cheap labour.
Kenya ndiyo nchi inayoongoza...
Subiri endeleeni kuwaza hivyo hivyo, Tanzania ya jana siyo ilishaondoka tuna Tanzania mpya na watanzania wenye mtazamo mpya.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.