Wakuu nimesoma muundo wa kampuni ya mabasi UDART kwamba kampuni ya Simon group inamiliki asilimia 51.
Kwa upande wa pili serikali na umoja wa wenye daladala kwa pamoja wanamiliki asilimia 49.
Sasa hoja yangu ipo hivi miundombinu (barabara) imejengwa na serikali kutokana na kodi ya wanaichi...
Hodi jamvini kwa kweli lazima niseme ukweli sauti ya mtangazaji Da Zuu wa cloud radio.
Naipenda sana anapo tangaza natamani aendelee kwa wale mlio karibu naye mfikishieni salam zangu.
Toa hisia zako kama kuna mtangazaji unayempenda kwa namna yeyote ile povu kafulie nguo hapa halitakiwi.
Habari za asubuhi wana jamvi,
Nimekuwa nikisafiri kwa mabasi kwa muda refu sana katika mikoa mbalimbali hapa nchini.
Kwa utaratibu wa sasa kuna vituo askari wa barabarani wamekuwa wakisimamisha mabasi ya abiria na kuuliza abiria mwendo wa dereva.
Lakini mara nyingi abiria wamekuwa wanasema ni...
Asalaam aleykum warahmatullah wabarakatuh. Amani ya bwana iwe juu.
Wana jamvi rejeeni kichwa cha habari hapo juu.
Nimekuwa nikitafakari kwa mda mrefu juu ya amri ya kutokuongea na simu ndani ya benk.
Ni kweli kabasa baadhi ya wahalifu wamekuwa wakitumia simu kama nyenzo ya kuwasiliana na...
Wadau rejeeni kichwa cha habari hapo juu nimekuwa nikisafiri na mabasi haya ya Baraka nikitokea Dar kwenda Lindi na kutokea Lindi kwenda Dar.
Anayo mabasi ya VIP na luxury za kawaida mm nimekuwa mara nyingi nikikata tiketi za VIP.
Cha ajabu sasa kule nyuma ambako kunatakiwa kuwe Business Class...
Kwani Evelyn salt uko wapi mbona unanitesa hivyo nifanye nini ili ujue nakupenda.
Siyo nakupenda tu ila nakupenda sana njoo Evelyn Salt tafadhali njoo najua upo nataka uelewe
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ninahitaji vyumba vitatu vya kupanga Masasi mjini nyumba iwe na umeme na maji.
Chumba kimoja kikiwa maater itakuwa bora zaid
Habari za asubuhi hapa jamvini.
Ni matumaini yangu kuwa mmeamka salama wale ambao mpo mapuzikoni kila la kheri. Na wale ambao mnaenda kuwajibika nawatakia kazi njema.
Ni rudi kwenye mada yapata kama miezi miwili hivi nilikuwa nikisafiri kutoka Dar kwenda Lindi.
Katika siti niliyokaa alikuwepo...
Wakuu nipo hapa Lindi mjini toka jana milango ya saa 5 asubuhi baada ya kufika nikachukua sehemu ya kulala.
Nirudi kwenye mada toka nilipofika hiyo jana umeme umekuwa ukikatika mara kwa mara yaani kama nikihesabu inaweza fika hata mara 20.
Maana mara nyingine unaweza ukajiuliza kuna mtoto...
Hodi katika jamvi ni matumaini yangu ku mmeamka salama jana usiku katika wilaya Makete Mkoa wa Njombe. Askari walikuwa wakipita katika nyumba za kulala wageni na kukamata wageni waliokuwa wamelala katika nyumba hizo.
Sababu iliyotolewa ni kuwa hawakujiandikisha kwenye daftari la wageni na hivyo...
Ndungu wana jamvi habari za asubuhi, ni matumaini yangu kuwa mmeamka salama na mnendelea na shughuli zenu za kulijenga taifa.
Hebu tutafakari juu gharama tunazochangia katika sherehe za harusi ambazo zimekuwa zikipanda kila siku.
Tunachangia gharama hizi kubwa sana ambazo mwisho wake...
Hodi wana jamvi nahitaji mtaalam wa kunifanyia massage ambaye anauzoefu wa kutosha na awe tayari kufanya huduma hiyo sehemu tofauti na anapofanyia.
Awe mwanamke ambaye atakuwa tayari ani PM kwa makubaliano zaidi.
Hodi wana jamvi leo nimekusudia kuongelea waendesha Pikipiki maarufu bodaboda.
Kweli hii kazi imekuwa ni msaada mkubwa wa ajira kwa vijana wetu na kurahisisha usafiri maeneo mengi ajira hii imenea nchi nzima.
Kwa mara ya kwanza ajira niliiona nchini Rwanda mwaka 1980 nikiwa safarini kwenda...
Gharama zimezidi kila eneo naomba nitoe mfano wa makampuni ya simu zamani ukinunua bando la muda wa maongezi unapewa na mda wa inter net na sms.
Lakini leo mda wa maongezi una gharama zake inter net gharama zake na hata sms na ukienda katika eneo la kuweka na kutoa pesa hapo ndiyo usiseme...
Wana jamvi habari ya jioni awali ya yote niwape pole kwa kazi za kila siku za kulijenga taifa na pia kuzijenga familia zetu.
Ndugu zangu maeneo hayo niliyoyataja ambayo yapo mkoa wa Pwani hali ni tete baada ya viongozi wa serikali za vijiji kuuwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana ambao...
Wakuu habari za jioni nina udhoefu wa mda mrefu wa kutembembelea miji mbali mbali hapa nchini kwetu.
Na nimegundua kuwa baadhi ya miji miundo mbinu imekuwa hafifu sana ukilinganisha na miji mingine.
Nitoe mfano tu wa miji kama Iringa, Songea na Moshi. miundo mbinu yake iko vizuri tafauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.