Huko nyuma nilielezea mapungufu mengi sana ya kampuni ninayoifanyia kazi ( Cocacola Kwanza company Dar-Mikocheni ) ambapo wachache wakatafsiri kwamba eti kufanya vile ni kuiponda kampuni.
Ndugu zangu, kitanda usicholalia haujui kunguni wake.
Waulizeni wafanya kazi watanzania walio katika...
Ndugu zangu, habari za mida.
Nakuja tena mbele yenu leo nataka kunena jambo. Wakati mwingine pesa huweza kumziba mtu mdomo na akawa kimya kabisa, nakubali hii ni kweli. Ila mimi nashindwa kuvumilia ndiyo maana huwa naandika yale ninayoyaona si mazuri na ya kinyonyaji hasa kwa vijana wetu ambao...
Kwakweli nchi hii inasikitisha sana. Vijana wetu wanalia hawana ajira huku baadhi ya nafasi za ajira wanapewa wageni kutoka nje tena kinachosikitisha zaidi unakuta kazi wanazofanya hata watanzania wanaweza kuzifanya. Tena utakuta hao wageni hata vibali vya kufanya kazi hapa nchini hawana...
Habari za muda huu wakuu. Kuna tetesi hapa kwamba vibarua walio katika kiwanda cha Pepsi kilichopo vingunguti jijini Dar es salaam wamegoma. Je ni kweli?. Mwenye taarifa tafadhari.
NOTE.
Hapa Cocacola kwanza Ltd ( Dar rs salaam ) na sisi siku na muda wowote tunakinukisha pia. Tunanyonywa sana...
Sawa utaratibu huu upo sehemu nyingi. Sawa wewe pia ulifanyaga kwenye kampuni Fulani.Lakini mkuu hapa Cocacola ni tofauti. Kwanza sisi hapa hatukuwahi kuletwa na hizi kampuni. Hata hao ero link wao ndo walitukuta hapa na hadi wameondoka sisi tupo. Hata hii Chaguo iliyopo sasa hivi ilitukuta na...
Kwa niaba ya vijana wenzangu wengi naomba nikusumbue kidogo. Naomba ukamuonyeshe hili JIPU ndugu waziri wa kazi vijana na ajira ( Mh, Jenister Muhagama ) na naibu waziri ( Mh, Abdallah Possy )
Pengine wao wanaweza wasiione hii post na kuisoma maana sina uhakika kwamba wapo humu JF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.