Mchicha pori mwekundu je! Unaliwa ama sumu?
Na upandaji wake ni kama mchicha tuliouzoea?
Hivyo nikisema nijaribu kuupanda unakubali kwa all season kwa maana kiangazi na masika?
Mchicha pori nimetokea kuupenda sana sana, ila huu mwekundu unanipa mashaka kama unaliwa.
Msaada wenu wanajamvi...
Habarini wakuu? Hope wazima kabisa..
What is motorcycle fuel consumption per km?
Kwa watumiaji wa hizo pikipiki za miguu minne(Quad Bike) cc700, mnaweza kunisaidia consumption ya petrol kwa km?
Katika mashindano yote niliyoshuhudia, from 1998-2022, basi hili ndio shindano bora kwangu(2022), sio tu shindano, bali na muandaaji mwenyewe QATAR na tamaduni zake nimezifurahia sana sana, wengine walijaribu kubip suala la ushoga wakagonga mwamba.. hongereni sana wana-QATAR, hakika mmewaweza...
Huu mgao wa umeme unaoendelea kwa kasi, umesababisha wengine tutumie simu za mkononi kuangalia mpira, jambo ambalo linatugharimu sana sisi wapenzi na watazamaji wa mpira wa miguu. Vifurushi vimepanda bei, mafuta yamepanda bei, in short maisha kwa ujumla yamepanda juu.
So, Mgao unaoendelea wa...
Naomba kufahamishwa unapoongea na mtu kwa njia ya simu, je! Ni wapi naweza kurekodi maneno yake wakati wa mazungumzo? Naomba kuweleweshwa makamanda wangu.
Bei za vifurushi vimepanda mno, ukijiunga zinaliwa fasta, najitahidi kujibana lakini wapii, hata kama kuwemo kwa tozo/kodi za serikali lakini sio sababu ya wao kutupandishia kiasi hicho, ni too much kwakweli, wamevuka mpaka. Mimi ni mpenzi na mfuatiliaji wa football, and many times naangalizia...
Marekani na Nato wamemponza mwenzao, utampelekeaje Zelensky silaha na mindege! Ona sasa kilichomkuta huyu Comedian....hapa BlackPanther anahesabu siku za kuimega ukraine,
Nawasubiri pro Americans a.k.a wazee wa kukaririshwa na kuaminishwa Propaganda za westerns...
🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Wale wa wydad na Raja Casablanca tukutane hapa....tunauwa mtu......
Karibuni sana makamanda wangu
Al ahly and Raja Casablanca saa 5:00 usiku
Belouizdad and Wydad Casablanca saa 00:00
Kila la heri Wydad and Raja Casablanca
TV & RADIO PERSONALITY SPORTS JOURNALIST @wasafitv, Edo Kumwembe. Ametoa ya moyoni kuhusu Lion Messi baada ya kubeba ballon d'Or ya 7, nami BlackPanther kwa upande wangu nasema hivi "Yuko sahihi na wala hajakosea hata kidogo bwana Edo" ingawa kwangu mimi bado nitaendelea kuwakubali (Lion Messi...
1 Algeria
2 Morocco
3 Mafarao
4 DR Congo
5 Tunisia
6...
7...
8...
9...
10...
(Algeria and Morocco) wawili hawa sina pressure nao hukoo Qatar, i know that watatuwakilisha vyema kabisa. kwangu mimi nawatambuwa kuwa ndiyo (Giants of Africa).
Kwako mdau mwenzangu, nani unampa nafasi ya kusonga...
IMEVUJA
Kwa upande wangu LEO10 anasitahili, no doubt, na vigezo viko wazi.
Unaepinga jiandae kuja na facts with statistics.
Karibuni sana wadau, nawapendeni nyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.