Binafsi napongeza sana mjadala huu.
Niseme tu kwamba watanzania tulishatiwa umaskini mkubwa kifikra. Tumeminywa kiasi kwamba hivi sasa mtu si tu kwamba hawezi kusema ila hawezi hata kusema kwamba hawezi kusema.
Watanzania tunaendeshwa na genge la watu tu. Hatuwezi kujiamulia tuongozwe na nani...
Nina bahati mbaya sana niko safarini na ninasikia kwenye gari pasipo usikivu mzuri. Kuna mtu anawezajua marudio hasa katika redio na/au TV ni lini na saa ngapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.