Muheshimiwa Magufuli tumbua mapema majipu ya misaada ya wahisani kwani ni saratani kwa ustawi wa uchumi wetu..
Hakuna msaada wa bure unaotoka kwa wanaojiita wahisani ndo mana licha ya debt relief program ya miaka ya 90 nchi za kiafrika zimeendelea kulipa takribani $ 20 bilioni kwa kila mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.