Daaah mtoa mada kuna viungo bora kbsaa hujawatendea haki
Mf : Issa Athuman.. Ramadhan Lenny.. Athuman Abdalah china.. Hussen Marsha.. Salvatory Edward... Niko Bambaga... Michael Paul... Hamis Gaga.. Wazir Mahadhi.. Godfrey Bonny Mwandanje...kiukweli Mkude ni mzr sio kwa ulivyompamba mkuu...
Naungana na ww mkuu.. Nimewahi kukisoma kitabu cha siri cha vita ya Uganda... Kilikuwa kimeandikwa kwa lugha ya tarakimu... Mfano Neno kama basi liliandikwa 52III2 ...aisee kile kitabu hakijaficha kitu chochote, wameelezea jinsi tulivyopigwa pale mpkani.. Tulipoteza mgambo na waalimu wa shule...
Kama kuna mtu anamatumaini na serikali ya ccm kuwa inadhamila ya kufuta umaskini kwa raia wake bc huyo mtu ufikiri wake una mapungufu makubwa mnoo.. ccm furaha yao kubwa ni kuona wananchi wanaendelea kuwa maskini ili iwe rahisi kuwatawala... Hakuna mwana ccm yyte kwa ngazi yyte ana hiyo dhamira...
Hz habar za mhe Lissu anaendelea vzr huwa zinawaumiza mioyo BASHITE na Makomeo... Maana hawakutarajia kuwa angekuwa hai hadi Leo... Hakika mungu wa lissu ni mungu asiye sinzia hata kidogo
ccm rungwe kwisha kwisha kabsa.. Hata kyela nako ccm kwisha kwisha kabsa.. Sasa hv wanapumulia kofia ya kamanda sirro tu... Kwenye uchaguzi mdogo uliopita wa kata 43 ccm hakuna kata hata moja walioshinda kihalali bila msaada wa polisi na watu wasiojulikana...
Yuko busy na mipango ya ununuzi wa wabunge kutoka upinzani... Pia waganga wa kienyeji walimpa asishiriki misiba... Jamani kutawala watu ni kz lazima uwalaze usingizi.. Ha ha ha ha ha ha eti ukiona maiti tu 2020 kwa heri
Kama si kweli kwnn siku ya tukio askari waliondolewa lile eneo ?? Cctv camera kwnn zimeng'olewa kwenye baadhi ya nyumba lilipofanyika tukio... Hv hii nayo inahitaji uwe std VII ndo ubaini huu mchezo ulichezwa na nani ?? Acha kujitoa ufahamu bhana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.