Mkiona hiivi basi mjue wazi kwamba NGUZO kiunganishi tayari keshaparaganyika kusini mashariki. Na hapo wananchi bado hatujawasha moto wa kufa mtu kote nchini!!!
Msicheze na wananchi wapole wakicharuka!!!!!!!!!!!
[/B]
Mwalimu Nyerere kusema "TUMUACHE BADO AKUWE KIDOGO" kumbe mzee wetu alitufunika ujumbe zito ajabu hivi!!!!!!!!!!!!
Hivi sasa kama taifa ndio tunaelekezwa wapi na kulazimishwa kulipa mafisadi wasiojulika hata kwa mmoja wetu! Kwa ujanja ujanja huu Watanzania tumeshapoteza kwakiwango gani...
Nenda pale ofisini kwao karibu na Imalaseko Posta Mpya; kuna Operations Manager mwana mama nina uhakika atafurahi sana kufuatilia na kufanyia kazi maoni haya.
Hivyo visanamu air-hostess huenda vinapunjwa sana hivyo hutegemea tabasamu za abiria wenye kuendekeza mambo kuwaachia vijisenti au ni...
Kaka kwa uzito wa hoja yako, nimenyong'onyea kabisa na hata kufikiria kuondoa kauli hapo juu.
Dawa hapa ni kutumia mtindo wa Tunisia nchi nzima bila kuchelewa hata wiki.
Dawa ya News Censorship kwa hii karne ya 21 ni rahisi sana watu kuiruka. Andika habari yako na kwa pale pale ofisini kwako rusha kila kitu hewani jf tena bila hata ya wahariri kupunguzia makali yoyote.
Pili, pindi serikali itakapoanza tu KU-NCHIMBI vyombo vya habari nchini basi naona hatari...
Wafanye hivyo tu mara baada ya kutujulisha maslahi ya taifa katika mikataba ya Richmond, Dowans, Meremeta, EPA, Umeme MW 600 na nyingine nyingi tu kabla ya kukimbilia hayo.
Sehemu ya baraza la mawaziri wasioafiki malipo ya kifisadi kwa Dowans kama sisi walipakodi ni lazima kulinda heshima zenu na maslahi yetu sisi Watanzania kwa kujiuzulu maramoja.
Hatua za kufuatia hapo mtuachie sisi kazi hiyo. Kuna shughuli pevu hapa.
Kweli dada, jibu ni dawa aina ya 'Tunisia' kwa magonjwa ya Ufisadi uliokithiri, uchakachuaji na mauaji ya Watanzania kwa kiburi cha ngedere kwa akina mama mashambani.
Watanzania, naona kabisa 'Tunisia' haizuiliki kutokomesha kabisa hizi hila zote za CCM, ufisadi, dharau na utapeli mwingi ili watu tukaanze upya kwenye ukurasa mwingine kabisa.
Kansa ya CCM katika jamii yetu haivumiliki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.