Eeeh! aina kwa maana kila mwenye nacho utamani kilicho juu zaidi ya alicho nacho, kw maana mataifa yaloendelea gari ambazo zinawapa mchecheto huku 90.999% ya raia wanazo so akikutana na mwanaume mwenye chuma kali lazima apapatike we nani huku ka IST kasikubabaishe?
"Usimuamini mwanamke yeyote isipokuwa mama yako" hii kauli alinambia bro mmoja alipigwa tukio na mkewe nilolishuhudia yule bro alikuwa muislam pure ila tangu yamkute kwa sasa mlevi mbwa
Sawa umefikiria nini kutupopoa na mfungo wote huu mana wengine na swaumu imekuwa kama kisingizio tunaonekana kama wafungaji kumbe apetite ya kula ishakufa kw stress
Ila jf inawanafiki sana kwakweli nmecheka sana kw comment yako hata kw nchi zilizoendelea kuna aina fulan za magari wanawake wanapapatikia uyo mwanaume sembuse huku.
Makubwa kwahiyo kwakua majanga yanaendelea kutokea basi yaruhusiwe mana hata hilo ni janga lakukemea na si kupewa support. Mbona kuna njia halali kwenye sex na bado watu wanabaka, kundi la watu wachache lisifanye taifa kuharibika.
Jamaa jau sana hawa ndiyo kizazi ambacho tangu anakua analelewa na mama akigeuka kushoto kuna dada hajakaa vizuri saut ya bibi inaita chumban so wanatafuta namna yakuji over comfidence uanaume wao uonekane kumbe wanajipa mateso tu.
Kuna namna fulani unawapangia watu maisha waishi utakavyo wewe, starehe yangu masanga kwa kiasi tena bila kumbugudhi mtu wewe kama nani unipe principle kujiona kama mdada kwa complications zako dhofu? % kubwa ulivyoviandika ndiyo rotation ya maisha ya sasa.
Kwani unashindwa kuachana nae kivipi unaishi kwa mateso kiasi chakufanya maamuzi ya ovyo wewe ni family leader. To tell u the truth mzee mwenzangu umekurupuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.