Habarini Wakuu!! kazi yangu Inategemea Sana Picha Video Kidogo. Mimi Ni Dalali Huwa Napost Majumba Mtandaoni.
Muda Mrefu Nimekua Nikitumia Kamera Za Simu, Naona Sipati Ubora Ule Ninaoutaka
Sasa Naomba Mnipe Ushauri Ni Kamera Gani Itakayonifaa Kwa Picha Za Mnato Ndani Na Nje Ya Nyumba, Ikiwa...
Tumekata Viwanja vingine Hapa Kigamboni
[emoji842]LOCATION Kibada Kilomita 1½ Toka Lami
[emoji842]UKUBWA Sqmt 400, , 500 hadi 700
[emoji842]DOCUMENT Pamepimwa Tayari
[emoji842]BEI Elfu 35 Kwa Kila Sqmt 1
Mfano Sqmt 400 utapata kwa mil 14
Sqmt 500 kwa mil 17.5
Sqm 700 kwa Mil 24.5...
Ni Camera 2 MP
-Ina Wifi inayosaidia kukupa taarifa hata ukiwa mbali, endapo kamera itapata internet
-Ina record video na sauti
-Ina jizungusha kulia kulia na kushoto, chini na juu
-ina detect object
-inachukua matukia mchana na usiku
-ina sehemu ya kuhifadhi memory Card
-Ni rahisi kuifunga...
Taa ya kuua Mbuu Na Wadudu mbalimbali
Ni Ya Kuchaji
Inaua Mbuu Na Wadudu mbali Kwa Shoti Maalumu
Haina madhara kwa binadamu,
Ikishachajiwa na kuwa full chaji inaweza tumika masaa 48
haina gharama ya ziada zaidi ya kuichaji
Pia Inatumika kama taa ya kawaida ili kupata mwanga
Battery 4000
BEI...
Bila shaka mko njema wakuu
Kwa hapa Dar wapi wanafungua mabelo yenye nguo kali grade one
Nahitaji za kupoint nikauze mtaani
Naimani hapa kuna wazoefu wa hizi kazi
Naombeni msaada wenu kwa hili wakuu
Bila shaka mko njema wakuu,
Nimejaribu kuzunguka maduka kadhaa hapa Dar sijafanikiwa.
Kwa anayejua vinapopatikana vifaa mbalimbali vya tena kisasa vya usafi, naomba anijuze.
Nafunga Ofisi Yangu Ya Pedicure & Manicure, nimekosa usimamizi mzuri
~Kuna Sofa Mbili Za Mtu mmoja mmoja (za pink) pamoja na Stuli Zake Nne
~Sofa Bench Moja La Watu Watatu (la blue)
~Meza mbili Zenye Kioo Juu, Viti Viwili Na Droo zake
BEI 850,000 (LAKI NANE NA ELFU HAMSINI ) kwa Vyote
maongezi...
Habari Wakuu, Natanguliza Shukrani
Mimi Ni Me Umri Miaka 33
Ni Miaka 6 Naishi Na Hili Tatizo Ila Kwa Sasa Mambo Yamenizidia
*Mwili Wangu Una Maumivu Makali Ya Ndani Kwa Ndani Hasa,Mabega, shingo,nyonga na mgongo na hata kichwa Kuwa Kizito (Sio Maumivu Ya kuminya Bali ni ya ndani mfano...
Habari ndugu
Jana kwa mara ya kwanza nimepost ads kwa kutumia computer, tangazo linahusu Saluni yangu na huduma zinazopatikana
Nikaweka objective ya message
Nikaset audience fresh
Nikaweka placement ya Instagram feed
Nikapublish report ikasoma tangazo lipo active
Shida performance inasoma zero...
Habari zenu wakuu,
Jinsia yangu me umri 30
Ni mda Sasa Nasumbuliwa Na Dalili Hizi:
Hii hali nna miaka nayo 6 ila sasa imekua siriasi
Kuna kipindi niligoogle hizi dalili, nikatumia dawa za neorotone, nilipata nafuu, ila nilipoacha kutumia hizo dawa tatizo likarudi
-maumivu ya misuli hasa...
Ndugu zangu Waislamu na Wakristo kuna ulazima gani kuweka vipaza sauti nje ilihali ibada mnafanyia ndani!!?.... spika za ndani pekee zinatosha kuendesha ibada zenu , ningeomba mamlaka husika iliangalie hili
Napendekeza muito(adhana) pekee ndo utumike kwenye kipaza, zaidi ya hapo ni usumbufu...
Achana na kilimo cha kutegemea mvua
Sasa nawaletea GREENHOUSEDrip irrigation , drip tapes na accessories zake na reserve tank la lita 3500 kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji kisicho na stress
ALL PACKAGES TOTAL PRICE NI MIL 20 TZS maongezi yapo
Drip tapes Zinatosha kuanzia Eka 9.5
Ni mpya...
Majenereta yote hayana tatizo, yako vizuri sana
FUEL:DIESEL
KVA 16' MIL 8 TZS
KVA 20 MIL 14 TZS
KVA 25' MIL 17 TZS
KVA 30' MIL 21 TZS
Maongezi yapo
DARESALAAM STAKISHARI
CALL
0718295182
0753254562
BANGOJEUPE
Wakuu nina hela hapa sasa nataka kutimiza lengo langu la kununua simu yenye kamera na betri Nzuri mimi ni mtu wa Picha sana ushauri wenu tafadhari kabla matatizo hayajazuia lengo langu
0718295182
Wakuu samahani naomba mnisaidie
seriez online ina subtittle ila nikiidownload inacheza bila subtittle
Nimetumia VLC Nina pc kupitia idm asante
Nimeipenda Dramacool kwa sababu unadownload file kwa mb ndogo na ni full episode
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.