Kheri ya mwaka wataalam.
Ninapata mkanganyiko kidogo kwenye kujua ipi itanifaa zaidi kati ya simu tajwa hapo juu.
Upande wa performance, ukaaji wa chaji na mambo mengine ya msingi kwa mtumiaji wa kawaida.
Nataka kununua moja kati ya hizi nimejaribu kupitia mitandaoni kuangalia ipi ni the best...
Naona imeshindikana nafikiri lilikua ni tatizo la kiufundi.. Ila nashukuru nimefanikisha.
Niliifungua kwa maelekezo ya mafundi kulikua na waya pale chini umeachia..
Nikafix asante sana kiongozi✊
Kama kichwa kinavyojieleza hapo ..
Laptop yangu MINI dell inpiron haifanyi kazi pale pa kupapasa pamoja na right na left click zote .
Mpaka utumie mouse ya nje ..
Nimejaribu ku update driver ila naona bado kwahyo sielewi tatizo nini.
Je vipi tatizo kama hili nikiwapelekea mafundi. Wanaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.