kwa kifup bodi wametuchonganisha sana na wazaz,yani siku hizi hawatuamini kabisa........kwanza ni tushinikize yule jamii atengue kauli yake au aitolee ufafanuz wa kina katka vyombo vya habar,pili naamin rais wetu huwa anaangalia taarifa ya habar,siku moja tu organize na waandish wa habar tutoe...
kwa wastan wa gharama ya hyo nyumba kila mwez amejiwekea sh 869,697 mbali ya fedha za chakula na mavaz na malaz kwa sasa,hebu weka vyanzo vyako vya mapato mbali na mdhahara wa ualimu
me nipo chuo cha kodi mwaka wa pili ni muhanga wa mkopo mwaka jana,mwaka huu pia nimeomba lakin kimya mpaka sasa sijui ndo wameshatuchinjia baharin............?
Habari,
Hivi kuna mtu yeyote mwenye taarifa juu ya mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea? Na kuna chuo chochote waliopata mkopo?
Mwenye taarifa atujuze wanajamii.
kwa uzoef wangu huwa waliopata hata boom hawaruhusiwi ku appeal,ila pole xna ndgu,najua kabsa umeshukuru sana kupata hata hiyo 0% ila kutokana na hali ya maisha imekulazima kufkiria kuappeal,hebu fkiria plan C
penda sana kufuatili motivational speechs za watu ambao wapo kwenye tasnia uipendayo,kama vle akna erick shigongo,paul mashaur na wengneo,then soma xna vtabu kama vle rich dady poor dady,8 habits of happy millioner,develop ur self confidenc nk
kipo mikochen B,unashukia kituo cha itv,kwa chet na dploma ada ni 1650400,na bachelor ni 1950400,masters 7mill,na clearing and forwarding ni kama laki 8 hv.na chuo knatoa program moja tu customs and tax management
watu tunakua wazto kurudsha den tukiona viongoz wanakula kod zetu bure ndo mana tunaamua na cc tuchukue chetu,ila kwasasa titarudsha tu......maana magufuli...........acha tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.