Search results

  1. M

    Cheti cha kumaliza kidato cha nne. miaka 11 iliopita. nakifata wapi?

    me kuna jamaa nlisoma nae alichelewa miaka miwili tu kwenda shule hajakikuta.....akakifuata necta
  2. M

    Hivi Magufuli majipu Board ya mikopo huyaoni?

    kwa kifup bodi wametuchonganisha sana na wazaz,yani siku hizi hawatuamini kabisa........kwanza ni tushinikize yule jamii atengue kauli yake au aitolee ufafanuz wa kina katka vyombo vya habar,pili naamin rais wetu huwa anaangalia taarifa ya habar,siku moja tu organize na waandish wa habar tutoe...
  3. M

    Mimi mwalimu,Mafanikio niliyoyapa mwaka 2014 na ya 2015 na matarajio yangu 2016

    kwa wastan wa gharama ya hyo nyumba kila mwez amejiwekea sh 869,697 mbali ya fedha za chakula na mavaz na malaz kwa sasa,hebu weka vyanzo vyako vya mapato mbali na mdhahara wa ualimu
  4. M

    Mikopo kwa wanaoendelea

    halafu cjui kuna ucri gan huko bod.....hata celewi
  5. M

    Mikopo kwa wanaoendelea

    hongera ndugu
  6. M

    Mikopo kwa wanaoendelea

    inshallah.....ngoja tuvute subra
  7. M

    Mikopo kwa wanaoendelea

    da....hyo course yako ni priority?maana sisi ambao coz zetu sio vpaumbele tumeshakata tamaa
  8. M

    Wasiopata mikopo tafadhali angalieni akaunti zenu, wameshawaingizia

    me nipo chuo cha kodi mwaka wa pili ni muhanga wa mkopo mwaka jana,mwaka huu pia nimeomba lakin kimya mpaka sasa sijui ndo wameshatuchinjia baharin............?
  9. M

    Mikopo kwa wanaoendelea

    Habari, Hivi kuna mtu yeyote mwenye taarifa juu ya mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea? Na kuna chuo chochote waliopata mkopo? Mwenye taarifa atujuze wanajamii.
  10. M

    Hii ndiyo real change, ya Obama Slogan TU!

    hebu muwe mnaangalia uhalisia mseongee takwimu mnazopewa....tupo tulioomba mkopo hatujapata mpaka leo halaf mnasema wote wamepata
  11. M

    Msaada ku appeal mkopo

    kwa uzoef wangu huwa waliopata hata boom hawaruhusiwi ku appeal,ila pole xna ndgu,najua kabsa umeshukuru sana kupata hata hiyo 0% ila kutokana na hali ya maisha imekulazima kufkiria kuappeal,hebu fkiria plan C
  12. M

    Bodi ya mikopo kuhusu Continuing Stedents na First year ambao hawakupata mkopo.

    wanazngua tu hawa jamaa.......,yan wanatoa sentens tata ili tukose cha kujitetea
  13. M

    Nini hatma ya wanafunzi wa st. Joseph-arusha

    yan wamewapotezea muda xna wenzetu mpaka sasa hawana matumain ya kurud shule
  14. M

    mkopo kwa mwaka wa pili

    jamani kwa wale mwaka wa pili na watatu ndo tumechinjiwa baharini au zamu yetu bado.......?
  15. M

    Mungu mkubwa hatimaye lot ya 5 na 6 zimetoka

    hongera,freshers o continue
  16. M

    Ushauri wa ndoto ya kuwa motivation speaker

    penda sana kufuatili motivational speechs za watu ambao wapo kwenye tasnia uipendayo,kama vle akna erick shigongo,paul mashaur na wengneo,then soma xna vtabu kama vle rich dady poor dady,8 habits of happy millioner,develop ur self confidenc nk
  17. M

    Namtafuta Mwanafunzi yoyote anaesoma chuo ITA

    kipo mikochen B,unashukia kituo cha itv,kwa chet na dploma ada ni 1650400,na bachelor ni 1950400,masters 7mill,na clearing and forwarding ni kama laki 8 hv.na chuo knatoa program moja tu customs and tax management
  18. M

    HESLB: Lot ya sita inatoka lini?

    yan ikifka kipind cha kusain unataman kulia jinc wenzako wanavyokimbzana kusain.........na kuchekelea
  19. M

    HESLB: Lot ya sita inatoka lini?

    watu tunakua wazto kurudsha den tukiona viongoz wanakula kod zetu bure ndo mana tunaamua na cc tuchukue chetu,ila kwasasa titarudsha tu......maana magufuli...........acha tu
Back
Top Bottom