Swali langu ni kuwa UKAWA ni matapeli! Mmeshindwa kumpa Ubunge wa Viti Maalum mke wa mwenyekiti mwenza wa Ukawa, badala yake mnampa EL viti 5 ambavyo amevigawa kwa wanaCCM!
Mbatia naye ana taa ngapi kule NCCR? UKAWA ni watu wa hatari sana! Mmeshindwa kumpatia Ubunge wa Viti Maalum mke wa marehemu, Mwenyekiti Mwenza UKAWA mzee Makaidi badala yake mnampa EL nafasi5 za viti maalum!
Mlijifanya kutoka Bungeni eti mpaka sharti la kuonyeshwa live Bunge litekelezwe! Kulikoni sasa mpo Bungeni au sharti lenu la kuonyeswa live limetekelezwa? Msikilize Zitto na nondo zake Bungeni amewazidi hao ndugu zako!
Mkuu nafikiri unatafuta matusi weekend hii! Najiuliza kabla ya mwaka 2005 wakati Bunge lilikuwa halionyeshwi"live", sijui wananchi walisononeka na kitendo hicho!
Umeandika maneno haya kutoka moyoni au umeambiwa uandike hivyo! Rais hajasema hivi kama unavyotaka kutuaminisha sisi wengine ambao tunafuatilia kwa umakini. Alisema kutokana na utajiri wetu tunaweza na sisi kuwa donor country. Neno hapo ni TUNAWEZA ( Ceteris paribus)!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.