habar zenu wana JF leo nimekuja na hili suala la ajari barabaran hususan kwa mabas makubwa yaendayo mikoan hiv ni kweli maderev huwa mnaona vitu vya ajabu maarufu kama vibwanga mkiwa barabaran maana nasikia mara muone mtu anakatisha ukimkuepa tu lazma uende chali afu huyo mtu hutamuona tena na...
habari wana JF i hope ni wazima wa afya ninaswal ninataka kujua b'se kuna mtu kaniuliza nimeshindwa kujua nimeona nikilileta hapa naweza pata majibu
hiv mwalimu aliyemaliza degree lakin hakugadurate kwasababu ya kuwa na carring over ila fomu za ajira alishajaza je anaweza kuajiliwa maana najua...
Kuna rafiki yangu wa karibu sana alikuwa na mahusiano na mwanamke flani but yule mwanamke alikuwa ametoka kuachika na mume wake.
Jamaa kaanzisha mahusiano lakini yule mwanamke alikuwa tayari na mtoto mdogo kama anamiaka 5.
Lakini baada ya siku kwenda yule mwanamke akaja kwa jamaa na kumwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.