Habari ya jioni
Natumia mko salama na mmesherehekea vizuri mwaka mpya
Nahitaji Mtaalamu ambaye anaweza kunitengenezea Vitabu vya Vicoba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,
Nahitaji mtu mwenye utaalamu wa kutengeneza leja, Daftari kubwa na vitabu vya wanachama vya Vicoba Nimpe kazi maana tuna kikundi chetu cha Vicoba. Au kwenye mwenye uzoefu anielekeze wapi ntapata watu wanaohusika na kazi hiyo...
Habarini za leo, Natumai mko poa na siku inaenda vizuri.
Mimi ni mdau mzuri tu wa jukwaa hili na mara nyingi huwa napitia hapa kujifunza baadhi ya mambo.
Leo nimekuja na hitaji langu kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natafuta mwalimu au Mtaalamu ili anifundishe hizo kozi hapo juu. Nahitaji...
Habarini za mchana wadau, Natumai mko poa na mnaendelea na harakati za kutafuta maendeleo.
Wadau nahitaji kwa mwenye uzoefu kuhusu pikipiki anisaidie kuchagua kati ya boxer 150 na Tvs hlx 150. Nahitaji kujua ipi ni bora kibiashara na uimara kwa hapa mjini maana nafikiria kununua pikipiki kwa...
Habari za Leo Wana Jamii Forum Wenzangu? Natumaini Wikiend imeanza vizuri kwenu na jumamosi inaenda poa.
Naombeni msaada wa mawazo yeni ili nimshauri huyu jamaa yangu ambaye amepatwa na jambo ambalo linamvuruga akili na moyo wake.
Miezi 2 iliyopita rafiki yangu mmoja alianzisha mahusiano na...
Habari za jioni hii?
Natumai mko poa na mnaendelea na majukumu yenu katika maisha. Nimekuja hapa kuomba ushauri baada ya kupata kigugumizi cha nafsi, akili na moyo. Ni hivi leo jioni hii nimemtongoza msichana mmoja ambaye tumekuwa tukifamiana kwa kipindi kama miezi mitatu sasa ambaye kwa umri...
Habari za Jioni?
Natumai wote mko poa,
Naomba kuuliza jambo moja kuhusu mahusiano hasa ya kimapenzi. Hivi nini huwa chanzo cha watu waliokuwa na mahusiano zamani na wakaachana au kupotezeana kwa miaka kadhaa au muda mrefu na ukakuta mmoja wao kaoa/kaolewa lakini bado wakionana mahusiano...
Habarini za wikiend?
Natumaini wana JF wote mko poa na wikiend inaenda vizuri kwa upande wenu.
Sina muda mrefu sana hapa JF japo nimekuwa nikiingia kila siku hapa ili kujifunza mambo na vituko vya dunia na mara kwa mara nimekuwa nikichangia baadhi ya thread. Hili ni moja ya jukwaa...
Habari za wikiend? Natumai wadau wote JF katika sekta hii mko poa, Mimi ni mgeni katika jukwaa hili japo nimekuwa nikipita mara kwa mara kujifunza kitu kipya katika maswala ya uchumi na biashara coz mi mwenyewe ni mjasiriamali na mfanyabiashara. Mwaka jana mwezi wa 9 nilienda TRA kuomba TIN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.