ma dr please mnadhalisha fani,hyo praziquantel what if iki fanya reaction?piahuyu mtu aja sema ameona dalili gani ?huenda dalili hzo zikawa siyo za schistosomiasis.best choice nenda hospital
mh.waziri wa mambo ya udini mila na utamduni jibu hoja kwanza kuhusu kuonekana hirizi mjengoni ya pili kuhusu mh.nanii binti yake nanii hii anaingiliwa uhuru wake wa kiutoto,yani wanamuwahisha kucheza ubaba na mama.majibu tafwadhali
pia ni muhimu kwa Mkeo aende clinic(ANC) mapema na wacheki utrasound ili kujua matatizo mengine sababu huenda kukawa na pathological condition inayohitaji msaada wa halaka kuna hali zinazojitokeza kwa kipindi hiki tunaita Anterpartum haemorrhage au congenital heart defects(magonjwa ya moyo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.