Hivi ni kweli haya Madawa ya Kupunguza unene ama Uzito ni kweli yanafanya kazi ama ni utapeli tu
Hawa jamaa wanafanya kuwaibia watu maana siku izi kiukweli makampuni na maduka yanayojihusisha na uuzaji Wa izi Dawa yameongezeka sana kupita kiasi .
Swali langu ni je ivi ni kweli izi dawa...
Daah ndugu kuwa mpumbavu so lazima uvae matambara kichwani wenye akili wameelewa ila wapumbavu ndo hamuwezi kuelewa mi nazni hii haikuusu ata kidogo kma huna msaada basi wee bpita tu nenda kunako kuusu
Rejea kichwa cha habar hapo juu.
Mimi nimehitimu chuo tangia mwaka jana ila bado sijabahatika kupata ajira .
Ombi langu ni kwa yeyote atakayeniwezesha kupata ajira yoyote ya kufanya mi sibagui taaluma wala aina ya kazi yoyote mi napiga haijalishi ni ya kisomi au siyo ya kisomi mi nafanya...
Mkuu mi Niko tayari kma uko serious plz naomba unitafute tuanze kazi Mara moja nko tayari kufanya kazi kwa moyo mmoja na uaminifu 0753119430 au anorldboy@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.